Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Umeandika ukweli..Kuna baadhi ya wanawake jf wako very cooled kitu ambacho hata nje jf watakuwa hivyo hivyo...
Ila sasa kuna wanawake wengine ukiona comment yake moja tuu....
Ila pia kuna nyuzi za ugomvi zishaanzishwaga jf ...ukiangalia mhusika/wahusika kama kuna vijiwe fulani hivi..
You end up stepping back..!
Ila mimi naamini kila mtu anaweza kubahatika kuonana na mtu from jf na wakafanya maisha pouwa sana
Nakumbuka nilipojiunga jf nilikutana na ugomvi wa wadada team fulani na team fulani walifikia hadi kutukanana..nikashangaa inakuwaje kuwaje..sawa wamekutana jf Sasa why hayo mapungufu yao ya nje ya jf wasiyamalize huko nje..
Kuna wakati huwa natamani rafiki kutoka jf lakini nikifiria Yale ya kusemezana vibaya kwenye Uzi..
Uwiii hapana..tubaki tusijuane tu
..

