Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!

Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
Yes gauni au blouse ikiwa loose simu haiwezi onekana ukiibana hapo kwa kifua kwa juu
 
🎵🎵Wanasemaga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
Niliposikiaga habari
Yakisifika nikakesha nangojea
Akabariki jalali na nikawika muziki nikauotea
Ile pruuu mpaka macca
Nikadandiaga bongo movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi, hhhmmm

Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki🎵🎵
 
Nilishawahi kukabwa Mwananyamala saa 5 asubuhi na madogo walikuwa wana visu bahati nzuri nilikuwa na Ki Itel na hela niliiweka M PESA wakanikuta nina sh 400 tu.

Dah Mwenyekiti wa WATOA POLE NA FARAJA yaani umeamua kunicheka kabisa 😕😕😕
Aaliyyah
 
🎵🎵Wanasemaga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
Niliposikiaga habari
Yakisifika nikakesha nangojea
Akabariki jalali na nikawika muziki nikauotea
Ile pruuu mpaka macca
Nikadandiaga bongo movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi, hhhmmm

Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki🎵🎵
Kwahiyo Umekoma au bado haukomi tu ???
 
Back
Top Bottom