Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,581
- 66,244
Ahhahah ulijua mfupi kama zakayoNjoo umwone udugu
Kumbe ni tall dark 🤣🤣
Ahhahah ulijua mfupi kama zakayoNjoo umwone udugu
Kumbe ni tall dark 🤣🤣
Sawa, utapewa adhabu ya kupika na kula ugali kilo 1, pekeako 😂😂😂Ndio dinner ila usinipige konzi 🙏🏾🙏🏾😔😔
Leo umenena la maana🙏🙏💪
Jiandae Uzi unakujaa😂😂Ahhahah ulijua mfupi kama zakayo
Jiandae Uzi unakujaa😂😂
Unatujazia serverJiandae Uzi unakujaa😂😂
Mi ndugu zangu wote, lazima niwapongezee💪💪Wa kuwa ni mrefu
Tuta waomba machalii was chuga, watuuzie server za wizi😂😂Unatujazia server
Yes gauni au blouse ikiwa loose simu haiwezi onekana ukiibana hapo kwa kifua kwa juuWe tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!
Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
Shkamoo BossLady in Red![]()
Kwahiyo Umekoma au bado haukomi tu ???🎵🎵Wanasemaga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
Niliposikiaga habari
Yakisifika nikakesha nangojea
Akabariki jalali na nikawika muziki nikauotea
Ile pruuu mpaka macca
Nikadandiaga bongo movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi, hhhmmm
Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki🎵🎵
Shkamoo Boss
😀😀😀Acha tufurahi
Nimekoma😂🙌Kwahiyo Umekoma au bado haukomi tu ???
Safiiii
AiseeUnatujazia server