Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,591
- 35,846
Huwa nahisi hizi bia ni kwa mabinti tu, kumbe hata masela wanazinywa?
Dahhh hyo chupa tu mkuu
Huwa nahisi hizi bia ni kwa mabinti tu, kumbe hata masela wanazinywa?
Hahahaha, kumbe zile vocha za humu huwa zinatumwa kwa style hii,dah kazi ipo







Pole Dokta, mbona huu uzi sio wa mambo magumu ? mpaka kutakiana vifo?Nikifa utafaidika vipi???🙄🙄🙄🙄
Uni tag sasa au Private DM 🙏🙏Ni
Nitakujibu tulia 😀
Niko salamaMarahaba boss
Uko salama mdogo wangu?

Happy birthday Mkuu..Happy birthday to me Mwachiluwi
Hili hapa linakuwa namba 5,ukitoa yale mengine,likiongozwa na lile jeusi.
Dr Lizzy, ka ugali kadogo Kama kilo 1 kakuuue😂😂😂 na hi Sasa😂Nikifa utafaidika vipi???🙄🙄🙄🙄
Niko salama
Ujue hii wiki nimekumiss tu
Kuna kitu niliona kikanifanya niwe nakukumbuka wiki nzima.
NitakutagUni tag sasa au Private DM 🙏🙏
😂😂LiugaliDr Lizzy, ka ugali kadogo Kama kilo 1 kakuuue😂😂😂 na hi Sasa😂
👉 Aaliyyah njoo tule😍
View attachment 2658479
Ukimaliza kula, una lala chini tu🤣😂😂, hata vyombo una shindwa kutoa😂😂😂Liugali
Kwakweli ilamboga changamotoUkimaliza kula, una lala chini tu🤣😂😂, hata vyombo una shindwa kutoa😂
Nahisi zimefichwa tu🤣😂Kwakweli ilamboga changamoto
Si huyu Intelligent businessman anataka kunipa adhabu kubwa kuliko uwezo wangu!!😟Pole Dokta, mbona huu uzi sio wa mambo magumu ? mpaka kutakiana vifo?
Mjep hujambo kipenzi uko poa?