Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,578
- 66,244
Ahahahaha ningekuwaa kivutio 😬😃😃Hahahaaa... ungepigapo foto ukiwa juu ya baiskooo lol!!
Ahahahaha ningekuwaa kivutio 😬😃😃Hahahaaa... ungepigapo foto ukiwa juu ya baiskooo lol!!
Ahahhaa uje na mauaStand nitakuja
Kuiba lazima ufanye practice kama mazoezi Mengine ya kuimba n.kkhaaaa
Haya ni mapya aisee




Pole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zaoLeo nimewachukia
Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.
Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.
Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.
Lenie
Ka aifon kangeenda na leo
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Lenie in case of anything![]()
Maana naona hii simu haitaki niwe nayo.
Ikipotea tukose wote
Abaki na kopo, na venye password yangu ya Apple ID ilivyo ngumu.
Atauza skrepa.
View attachment 2657614


hii feature inafuta vitu vyako tuu? Au itahusiana na software part piaHiyo juisi unakunywa nl baada ya kula ehh, Mana ukiniambia ndo Cha usiku. Nitakupigaaa konzi😂😂
Bro sasa si ndo akanipa ile infinixSimu ya laki 2 jamani itakua na camera ya ukungu hee 🤣
Ila iliondoka kipindi kibaya sana, Ile trip ilitakiwa uturushe roho sana kwa status 😂
Ila umafia saa nyingine unasaidia Sana huku mtaa
duhaliporwa simu, wallet akapigwa visu.... hiyo siku focalistic alikuja pale the hub palijaa sana.... mi niliwahi kuondoka kesho yake ndo nikaambiwa
Mfuko gani shoo? 😂😂 hizi vimini tunavaa zina mifuko kwaniPole mwaya!!!Wakati mwingine uwe unaweka simu mfukoni ili hata ikitokea wameotea mkoba wasipate simu.
Ndio dinner ila usinipige konzi 🙏🏾🙏🏾😔😔Hiyo juisi unakunywa nl baada ya kula ehh, Mana ukiniambia ndo Cha usiku. Nitakupigaaa konzi😂😂
Erase datahii feature inafuta vitu vyako tuu? Au itahusiana na software part pia
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Mfuko gani shoo? 😂😂 hizi vimini tunavaa zina mifuko kwani
tuishi tu maana hivi vitu havitabirikiduh
Ila mambo yenu huku bana.
Mnajikuta kama mko Sauzi
Kwa tukio la leo, kuna vitu naacha kabisa.
Kwanza usikute ni Mungu kanipa alert maana huu mwezi nimezurura mno
That's cool, unatakiwa umrahisishie mazingira yakuitumia ilivyo ili iwe rahisi kuikamata kuliko ikigeuzwa spare partsErase data
Simu inabaki plain.. new kabisa
Vitabaki vya Icloud, google, wasap kama ulikuwa unafanya back up.
Unazidi kuna wili tu shame ake Chino!!
Uwii si ndo nitakatwa nyonyo 🤣🤣🤣🤣🤣
Basi unabania kwenye mkanda wa bra 😄
Nilopoteza find my device ilikuwaga off. So sikuhangaika lolote zaidi ya kufunga.That's cool, unatakiwa umrahisishie mazingira yakuitumia ilivyo ili iwe rahisi kuikamata kuliko ikigeuzwa spare parts
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Uwii si ndo nitakatwa nyonyo 🤣🤣
Naanza kukaa kwa pattern aisee
Nilijisahau sana kuhusu huu mkoa na 3 mzuka.
Maana siku ingine natembea kwa miguu tu mpk usiku mkali, sina wasi yan