Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao Leo nimewachukia

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Pole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mawazo haya sijui kama ntajenga
IMG_20230614_153956.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu ya laki 2 jamani itakua na camera ya ukungu hee 🤣
Ila iliondoka kipindi kibaya sana, Ile trip ilitakiwa uturushe roho sana kwa status 😂

Ila umafia saa nyingine unasaidia Sana huku mtaa
Bro sasa si ndo akanipa ile infinix
Eti weka laini humu nikutumie picha uvimbe status.
Wai kuishika simu haina tofuti na mche wa sabuni 😂😂😂
Si ndo nikazingiziia haipeleki moto
Ila atakuwa alielewa tu sjaipenda
 
aliporwa simu, wallet akapigwa visu.... hiyo siku focalistic alikuja pale the hub palijaa sana.... mi niliwahi kuondoka kesho yake ndo nikaambiwa
duh
Ila mambo yenu huku bana.
Mnajikuta kama mko Sauzi

Kwa tukio la leo, kuna vitu naacha kabisa.
Kwanza usikute ni Mungu kanipa alert maana huu mwezi nimezurura mno
 
That's cool, unatakiwa umrahisishie mazingira yakuitumia ilivyo ili iwe rahisi kuikamata kuliko ikigeuzwa spare parts

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilopoteza find my device ilikuwaga off. So sikuhangaika lolote zaidi ya kufunga.

Hii cha kwanza ilikuwa ni kuturn on kabla ya vyote. Ili ikipotea nipate kutrack directions.
 
Uwii si ndo nitakatwa nyonyo 🤣🤣
Naanza kukaa kwa pattern aisee
Nilijisahau sana kuhusu huu mkoa na 3 mzuka.
Maana siku ingine natembea kwa miguu tu mpk usiku mkali, sina wasi yan
🤣🤣🤣🤣🤣
Na nyonyo likiondoka ni hasara kuliko makorokoro yanayonunulika.

Yeahh....be more careful, maana ndugu zangu wanaonekana wameongeza ukorofi.🥴
 
Back
Top Bottom