Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii huwa inakuwa ni incidence tu na kukabwa au kuibiwa hakutabiriki, Kuna siku nimetoka zangu maeneo ya Africa Sana, mida ya usiku wa saa 6 nikabeba na chupa kabisa mkononi nikajiambia wakitokea tu hapa naruka nao. Nikakaribia kabisa na Home nikaitupa ile Chupa dk 1 tu hawa hawa na mapanga. walinichukulia kila kitu na Wallet wakanirudishia.
Mapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂

Pole sana, vibaka sio watu poa kabisa
 
IMG_8025.jpg

Voda hyo
 
Mapanga duuh aki nahisi ningezimia hapo hapo kwanza then wangeniibia kwa amani😂

Pole sana, vibaka sio watu poa kabisa
Ndio taifa letu hili limeshindwa kuja na mkakati wa kudhibiti au kupunguza haya matukio, zanzibar hizi mambo hazipo, lakini hapa Dar ni shida na Vibaka wanakuwa wanajulikana kabisa
 
Back
Top Bottom