Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Just be different everything will come into place😊Being in your own world, right teacher🤔 Jack Palladino
Just be different everything will come into place😊Being in your own world, right teacher🤔 Jack Palladino
Umejuaje naifunga passport yako 😂😂😂Yeah au unataka unizuie nibaki bongo kijana
Unaangalia wapi mechi?nenda mcity kwenye big screenUmejuaje naifunga passport yako 😂😂😂
Ahahah mimi na mpira tofautiUnaangalia wapi mechi?nenda mcity kwenye big screen
Mara ya mwisho niliona kama kapigwa banFresh to brade, nimewakumbuka ndugu zangu, japo simuoni national🤔.
👉Kabadili jina??, Au kala ban🤔
The Cityzens💪💪💪The citizens
Hallah
Tuna jambo letu leo pale Istanbul,
Why not us???
UEFA final.View attachment 2652326
Leo Man City mapema sana ananyanyua ndoo UEFAYani mpira wa ulaya ulivo hautabiriki utashangaa Inter Milan ndio wanabeba binafsi natamani leo Man City waweke rekodi yao asee, baada ya hapo next season naiombea PSG nayo waweke rekodi yao wakiwa na Mbappe kama hataondoka dirisha hili, maana naona ndio Lengo lake kuacha historia pale Paris ndio maana hataki kusepa
Tuwekeane hela mzeLeo Man City mapema sana ananyanyua ndoo UEFA
Mbappé hata abaki PSG sioni wakiwa na timu ya ushindani kubeba UEFA
Poa weka 10k tuTuwekeane hela mze
Bro inter Milan na inzaghi, sio wajinga Kama tunavyo dhaniaLeo Man City mapema sana ananyanyua ndoo UEFA
Mbappé hata abaki PSG sioni wakiwa na timu ya ushindani kubeba UEFA
Ana vurugu nyingi, hivi ukila ban si unaishia kusoma tu??Mara ya mwisho niliona kama kapigwa ban
21How old are you?
Huingii kabisa jf yaani 🤔Ana vurugu nyingi, hivi ukila ban si unaishia kusoma tu??
Au ni restriction ya kuingia jf kabisa🤔
Asante mkuu@12:00
For the very first time Hongereni Man City🏆
👏👏👏
aisee😂😂Nipige na khanga au ukuni
😂😂😂😂aisee😂😂