Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daahh...pole Sana jioni Bora kutopanda boda kisualama Zaidi maana ni hatari Sana waweza jikuta unapata athari Hapo wangewadondosha sijui ingekuaje
Everything happened for a reason
Ni kujifunza tu.
Sahivi saa 12 ikifika siendi na mkoba mjini, wala sipiti njia ya bia.
Wala sipandi toyo.
 
Sanaa 🤣🤣🤣

Boda anashangaa why sibabaiki
Ye amebabaika mno, anasema yeye hajawahi shuhudia hao 3 mzuka kwa macho.
Kwanza ikifika saa 12 uwa anaenda nyumbani. Sasa mie leo nilimkaliza mjini mpk saa 1.
Tumefika home, nimeshuka natoa funguo nifungue gate. Anasema siondoki mpk uingie ndani 😂😂
Kwa style hii sister ninaye😍😍, Depal
 
Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra
Nilishawahi kukabwa Mwananyamala saa 5 asubuhi na madogo walikuwa wana visu bahati nzuri nilikuwa na Ki Itel na hela niliiweka M PESA wakanikuta nina sh 400 tu.
 
Ila kwanini hukushtuka wala kuogopa🤣
Mkoba nilikuwa nimeuweka site isiyoweza anguka kirahisi... af nilikuwa nimeushika tight mno, ile pia nadhani ilifanya nisipate woga kuwa utabebwa.

Pili roho ya mashtuko nadhani sina, ile december nilivyopoteza simu namwambia wifi simu imepotea getini mle ndani wakawa hawaamini mpk wakaenda kwenye camera.
Kisa sura yangu ilikuwa iko zake kawaida like nothing happened., mpk wallivyopiga simu haipatikani, ndo wanaanza kunisikitikia,, Me niko kawaida,. Kesho niko kawaida.
Mdada wa kazi ananitania utaanza kulia saa ngapi? 🤣🤣
Nacheka tu yan
 
Back
Top Bottom