Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Everything happened for a reasonDaahh...pole Sana jioni Bora kutopanda boda kisualama Zaidi maana ni hatari Sana waweza jikuta unapata athari Hapo wangewadondosha sijui ingekuaje
Ni kujifunza tu.
Sahivi saa 12 ikifika siendi na mkoba mjini, wala sipiti njia ya bia.
Wala sipandi toyo.
