Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,181
Eeh maana dalili mbaya zishaonekanaJust in case akiibiwa eeh😀
Eeh maana dalili mbaya zishaonekanaJust in case akiibiwa eeh😀
Anahitaji usafiri huyuEeh maana dalili mbaya zishaonekana
Ahahhah ww Acha tuUnatusema wasukuma tena😅
Hahaa wanawake wamekuajeDaah Wanawake😂😂😂
Nilishawahi kukabwa Mwananyamala saa 5 asubuhi na madogo walikuwa wana visu bahati nzuri nilikuwa na Ki Itel na hela niliiweka M PESA wakanikuta nina sh 400 tu.Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra[emoji1][emoji1][emoji1]
Navyopenda samaki, nitakuja kukupokea stand kabisa mbona
Mkoba nilikuwa nimeuweka site isiyoweza anguka kirahisi... af nilikuwa nimeushika tight mno, ile pia nadhani ilifanya nisipate woga kuwa utabebwa.Ila kwanini hukushtuka wala kuogopa🤣
unaona sasa.... we si ulinicheka tukio langu😂mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮
Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.
Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.
Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.
Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Simu SI ishapatikana😂, hiyo mpya irudishwe. Bado mnakataa eti dalili mbaya zimeonekana😂😂Hahaa wanawake wamekuaje
Stand nitakujaUkuje kabisa
We sa unaibiwaje The Hub!? 🤣🤣unaona sasa.... we si ulinicheka tukio langu😂
enewei pole, shortcut ya bia usipite jioni au usiku labda uwe na gari.... na ile njia inapanda kutoka pale gold crest kutokea kule mount meru
Ractis🤣Gari ndio haziporwi?
Si inapigwa chain tuta tu inakwama 😂
Me napenda ractis ya kijani au nyeupe 🤣🤣🤣
Afu kweli 😂😂😂 dahUnaona raha ya kupita JKT, ungekua lege lege kama ma slay qeen wangeiba mkoba?🙂
😂😂😂😂 ngoja nikapost kwenye uzi anaoshinda mzee wa ractis nyekunduRactis🤣
Upoje🤣🤣🤣
Utaanza kulia saa ngapi?🤣🤣🤣Mkoba nilikuwa nimeuweka site isiyoweza anguka kirahisi... af nilikuwa nimeushika tight mno, ile pia nadhani ilifanya nisipate woga kuwa utabebwa.
Pili roho ya mashtuko nadhani sina, ile december nilivyopoteza simu namwambia wifi simu imepotea getini mle ndani wakawa hawaamini mpk wakaenda kwenye camera.
Kisa sura yangu ilikuwa iko zake kawaida like nothing happened., mpk wallivyopiga simu haipatikani, ndo wanaanza kunisikitikia,, Me niko kawaida,. Kesho niko kawaida.
Mdada wa kazi ananitania utaanza kulia saa ngapi? 🤣🤣
Nacheka tu yan
yah.... kuna mtu aliuwawa maeneo ya ile barabaraGold crest ipi? Inayopanda The Hub??
Ile siku utakayobondwa aki usiniiite, maana nitakua sikujui🤣🤣🤣😂😂😂😂 ngoja nikapost kwenye uzi anaoshinda mzee wa ractis nyekundu