Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230615_094530.jpg
 
Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?

Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.

Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.

Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️

Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
We tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!

Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
 
We tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!

Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
Dah
Nasubiri kuona,. Maana hivi hivi sitaelewa.

Yule mkaka nilishuka kituo cha kati nikamwacha kwa hiace.
Kuna watu ni wema jamani ☺️
 
Back
Top Bottom