Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,536
- 66,078
we jamaa unafanya birthday ngapi kwa mwaka😂Happy birthday to me Mwachiluwi
Nyingine ipiwe jamaa unafanya birthday ngapi kwa mwaka😂
kuna siku ulipost humu birthday skumbuki lini....Nyingine ipi
No sio mimikuna siku ulipost humu birthday skumbuki lini....
ngoja ni-screenshoot hii siku ukileta nyingine nakuumbua hapahapa😂No sio mimi
Acha unaakuna siku ulipost humu birthday skumbuki lini....
Babie gal 😙😘
We tulia ntakuonyesha.Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?
Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.
Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.
Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️
Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
amini😂Acha unaa
UmepoaaaaHappy birthday to me Mwachiluwi
Tazama ua limeanza kukuachia alama kwenye mkono
Njoo umwone uduguHappy birthday to me Mwachiluwi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tazama ua limeanza kukuachia alama kwenye mkono
DahWe tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!
Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
Aya liondoe chap upone haraka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeshapata kilema!😵💫
Asante sana jrUmepoaaaa
Umepoaaa
Umepoaaaa
Umepoaaaa
Mwachiluwi umepoaaaaa...
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa chief