Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?

Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.

Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.

Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️

Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
Huyo mkaka alikua mstaarabu.
Yaani unaweka simu mfuko wa nyuma wa jeans? Tena Arusha?
Ulikua unajiona uko Ulaya eeh😂
 
🤩🤩🤩

Hii inafaa sana maana kampango kakuanzisha shamba ni ndoto inayojirudia rudia.😊
😂 nina ya kuku pia
Ukitaka ni shwaaa, uko na soft copy uhangaike nazo.

Naspend muda mwingi na wakulima& wafugaji, lakini sina hata robo eka ya mahindi 😄
 
Pole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa
Bodaboda wa bolt wengi ni wastaarabu.
Hawa wengine ndo vibaka wenyewe.. anajidai haelewi kumbe ndo wanapeana assist hivyo [emoji23]
Na anaenda kukuchomeka mazingira ambayo anajua kabisa watakupora vizuri.
 
20230615_094530.jpg
 
Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?

Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.

Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.

Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️

Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
We tulia ntakuonyesha.
Chamsingi nguo ya juu iwe loose sehemu ya mabega.
Mtu labda aanze kukusachi ndio atagundua, ambapo kama style aliyoibiwa Lenie mwizi wake asingeambulia chochote!!!!

Huyo mkaka ilibidi umtoe lunch kabisa!!!🤩
 
Back
Top Bottom