Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Hii mbinu naichukua 😂🤣🤣🤣
Basi unabania kwenye mkanda wa bra 😄
Hii mbinu naichukua 😂🤣🤣🤣
Basi unabania kwenye mkanda wa bra 😄
Ila wewe mtoto unanata sana, huna simu na infinix ipo Ila ukaikataa🤣🤣Bro sasa si ndo akanipa ile infinix
Eti weka laini humu nikutumie picha uvimbe status.
Wai kuishika simu haina tofuti na mche wa sabuni 😂😂😂
Si ndo nikazingiziia haipeleki moto
Ila atakuwa alielewa tu sjaipenda
Pale mshamba_hachekwi clock tower sheli. Kuna work mate aliporwa simu pia na boda.Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra![]()
🤩🤩🤩Twenzentu training Dr Lizzy View attachment 2658123
Heri kitochi ijulikane sipo online, kuliko kile kitofaliIla wewe mtoto unanata sana, huna simu na infinix ipo Ila ukaikataa🤣🤣
Na ulikua unajiachia njia nzima mwenyewe Kisa kusindikizwa.Pale mshamba_hachekwi clock tower sheli. Kuna work mate aliporwa simu pia na boda.
Huoni siku hizi nimeacha za kukupigia unisindikize Lenie ni baada ya hiyo story ya work mate. Juzi kati tu hapo, wahuni wakapita na infinix yake 😅😆
Ila wezi jamani
Wauwawe tu wakidakwa
Niliwahi ibiwa pochi ilikua na kila kitu sema ilikua saa 6 usiku sijui nilikua najiamini nini kutembea usiku ule mwenyewe😅🤣🤣
Iko poa sana...hata jana nimeitumia. Mtu akikuona hujabeba chochote anajua hujatembea hata na simu.
Inabidi Depal afundishwe kwa mifano!🤓
Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?🤣🤣
Iko poa sana...hata jana nimeitumia. Mtu akikuona hujabeba chochote anajua hujatembea hata na simu.
Inabidi Depal afundishwe kwa mifano!🤓
Kitofali🤣🤣Heri kitochi ijulikane sipo online, kuliko kile kitofali
Huyo mkaka alikua mstaarabu.Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?
Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.
Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.
Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️
Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
Nimekoma 😆Na ulikua unajiachia njia nzima mwenyewe Kisa kusindikizwa.
Maisha magumu watu washajiamulia kuwa vibaka, halafu wanaongea wadada zaidi
Imani itakuja kuniponza vibaya siku1Huyo mkaka alikua mstaarabu.
Yaani unaweka simu mfuko wa nyuma wa jeans? Tena Arusha?
Ulikua unajiona uko Ulaya eeh😂
😂 nina ya kuku pia🤩🤩🤩
Hii inafaa sana maana kampango kakuanzisha shamba ni ndoto inayojirudia rudia.😊
Kweli kabisaPole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.
Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana Miss Depal naona maeneo ya Mwananyamala wanafanya mpaka practical jinsi ya kupora maana wanakuwa watatu halafu wana practice![]()



Mimi huwa nashika simu mkononi nikiwa kwenye boda.Pole mwaya!!!Wakati mwingine uwe unaweka simu mfukoni ili hata ikitokea wameotea mkoba wasipate simu.