Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_8012.jpg
 
Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra
Pale mshamba_hachekwi clock tower sheli. Kuna work mate aliporwa simu pia na boda.

Huoni siku hizi nimeacha za kukupigia unisindikize Lenie ni baada ya hiyo story ya work mate. Juzi kati tu hapo, wahuni wakapita na infinix yake 😅😆

Ila wezi jamani
Wauwawe tu wakidakwa
 
Pale mshamba_hachekwi clock tower sheli. Kuna work mate aliporwa simu pia na boda.

Huoni siku hizi nimeacha za kukupigia unisindikize Lenie ni baada ya hiyo story ya work mate. Juzi kati tu hapo, wahuni wakapita na infinix yake 😅😆

Ila wezi jamani
Wauwawe tu wakidakwa
Na ulikua unajiachia njia nzima mwenyewe Kisa kusindikizwa.

Maisha magumu watu washajiamulia kuwa vibaka, halafu wanaongea wadada zaidi
 
🤣🤣
Iko poa sana...hata jana nimeitumia. Mtu akikuona hujabeba chochote anajua hujatembea hata na simu.

Inabidi Depal afundishwe kwa mifano!🤓
Niliwahi ibiwa pochi ilikua na kila kitu sema ilikua saa 6 usiku sijui nilikua najiamini nini kutembea usiku ule mwenyewe😅

Walinikomesha ila walinifundisha somo zuri🤣 maana since then hunikuti naranda nje usiku bila sababu za msingi

Laiti ningetumia hyo style simu yangu ingepona maana sikua na cash kwa pochi so kilichoniuma ni simu.
 
🤣🤣
Iko poa sana...hata jana nimeitumia. Mtu akikuona hujabeba chochote anajua hujatembea hata na simu.

Inabidi Depal afundishwe kwa mifano!🤓
Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?

Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.

Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.

Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️

Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
 
Yan simu unaiwekaje kwa mkanda wa bra? Si itatuna?

Nilikuwa na tabia kama nimevaa suruali naiweka mfuko wa nyuma. Mara nyingi skin jeans hazinaga mifuko mbele.
Au kama ni bag naweka kale ka mfuko ka nje.. yan nilikuwa naishi as if raia wote nimezaliwa nao.

Siku 1 pale Impala.. nipande hiace za Njiro kama kawaida simu iko pembeni ya begi. Mpiga debe akaichomoa hata sijasikia 😄😄
Nikazama kwa Hiace, kumbe kuna abiria alimuona.

Basi nimeingia nimekaa, yule kaka akaniuliza simu yako iko wapi? Si ndo nacheck mifuko ya pembeni ya bag siioni.
Mara yule kaka akamwambia yule mpiga debe wewe rudisha hiyo simu sahivi kabla sijashuka...
ikarudi... basi nikamshukuru mkaka wa watu.,. Nikamlipia na nauli ☺️

Tokea hapo, nimekoma huo mtindo.
Huyo mkaka alikua mstaarabu.
Yaani unaweka simu mfuko wa nyuma wa jeans? Tena Arusha?
Ulikua unajiona uko Ulaya eeh😂
 
🤩🤩🤩

Hii inafaa sana maana kampango kakuanzisha shamba ni ndoto inayojirudia rudia.😊
😂 nina ya kuku pia
Ukitaka ni shwaaa, uko na soft copy uhangaike nazo.

Naspend muda mwingi na wakulima& wafugaji, lakini sina hata robo eka ya mahindi 😄
 
Pole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa
Bodaboda wa bolt wengi ni wastaarabu.
Hawa wengine ndo vibaka wenyewe.. anajidai haelewi kumbe ndo wanapeana assist hivyo
Na anaenda kukuchomeka mazingira ambayo anajua kabisa watakupora vizuri.
 
Back
Top Bottom