Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20230614_182450_933.jpg
 
Ukiona tu nimekuzidi weusi usinifate.
Nataka wa kutakatisha watoto wetu aisee..

Ukiona nipo na mweusi basi ujue nilikosa option,nikamchukua tu option ya mwisho
nimechekaa jomoneeee khaaah
Wee sikuwezii dadaa.
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Pole sana
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao Leo nimewachukia

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Daahh..dogo pole saña dear Mpk umetukanaa
Hawa wezi wa kwenye boda nuksiii...mi nishakoswakoswa wakatukana bonge la tusiii
 
Back
Top Bottom