Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daahh..dogo pole saña dear Mpk umetukanaa
Hawa wezi wa kwenye boda nuksiii...mi nishakoswakoswa wakatukana bonge la tusiii
Nasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso 😂😂

Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi 🤣🤣🤣

Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Uwiii ingeenda tena na leo aki ningekushauri tu urudi kwenye tecno🤣🤣

Aisee pole sana, me ningekua natetemeka hadi muda huu maana experience ya wezi ni balaa.

Ila hao boda boda vibaka wanafanya bodaboda wote waonekane wahuni
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Pole sana Miss Depal naona maeneo ya Mwananyamala wanafanya mpaka practical jinsi ya kupora maana wanakuwa watatu halafu wana practice 😑😑😑
 
Nasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso 😂😂

Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi 🤣🤣🤣

Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
😂😂😂😂 Watu wa pande hizo wana tamaa sana kipindi fulani nilikuwa Zanzibar kuna Mmasai alitatuliwa na Waitaliano na Nnyaa kibao baada ya kuishobokea 100 dola mpaka alikufa.
 
Lenie in case of anything 😂😂
Maana naona hii simu haitaki niwe nayo.

Ikipotea tukose wote
Abaki na kopo, na venye password yangu ya Apple ID ilivyo ngumu.
Atauza skrepa.
IMG_7315.jpeg
 
mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao 😡Leo nimewachukia 🤮🤮

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba 🤣
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa 🤣🤣
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo 🤣
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
Polesana
 
Nasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso 😂😂

Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi 🤣🤣🤣

Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
Dada Deborah wa form 4 liva, mbona Kama umetusema sisi ma un educated😂😂
 
Uwiii ingeenda tena na leo aki ningekushauri tu urudi kwenye tecno🤣🤣

Aisee pole sana, me ningekua natetemeka hadi muda huu maana experience ya wezi ni balaa.

Ila hao boda boda vibaka wanafanya bodaboda wote waonekane wahuni
Hapo ndo wanaume waelewe mtu akisema ana boda boda wake. Hizi mambo za kuokoteza boda ndio siku unaweza okota boda mwizi.


Nina marafiki mko na hela 🤣 mngenipa tu nirudi hata kwa ka Xs aisee

Yan sikuwazia simu kabisa wala wallet.. nilikuwa nawazia funguo. Mkoba ulikuwa na funguo za sehemu konkiii mno kuliko hata vikaki kaki vilivyokuwa kwa wallet.
 
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda. 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda. 😂
Ila vibaka bana 🤣🤣
Na Mwananyamala wamejaa kama wote
 
😂😂😂😂 Watu wa pande hizo wana tamaa sana kipindi fulani nilikuwa Zanzibar kuna Mmasai alitatuliwa na Waitaliano na Nnyaa kibao baada ya kuishobokea 100 dola mpaka alikufa.
Dola mia ya laki 2!! Unakuja kufa?? Ona sasa
Angeenda site saidia fundi si mwezi tu ako na hizo laki 2 zake akazibadili ziwe dollar
 
Back
Top Bottom