Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,181
Si ndio ukipotea asipate shida kuorder mpya 🤣🤣Simu SI ishapatikana😂, hiyo mpya irudishwe. Bado mnakataa eti dalili mbaya zimeonekana😂😂
Si ndio ukipotea asipate shida kuorder mpya 🤣🤣Simu SI ishapatikana😂, hiyo mpya irudishwe. Bado mnakataa eti dalili mbaya zimeonekana😂😂
😂😂 afu hapo nitaanza kulia saa ngapi nishalog in kwa simu ingine, nafind my phone nakuta location off.Utaanza kulia saa ngapi?🤣🤣🤣
Tatizo lako umafia umekuzidi, upunguze ugumi basi japo kidogo
😂😂 jeshiiiiiiiiiiIle siku utakayobondwa aki usiniiite, maana nitakua sikujui🤣🤣🤣
Duh 🥹😡yah.... kuna mtu aliuwawa maeneo ya ile barabara
Simu ya laki 2 jamani itakua na camera ya ukungu hee 🤣😂😂 afu hapo nitaanza kulia saa ngapi nishalog in kwa simu ingine, nafind my phone nakuta location off.
Simu inasema Depal is offline
Nikaona hamna kitu hapo.. 😂😂 nalia?? Namlilia nani? Ili iweje?
Erase data chap, nikatulia.
Nikawasha kitochi.
Ndio tukaenda porini. Bro ananiangalia anacheka balaa anasema aliyebeba simu kakukomesha.
Dogo kaview status ya bro tuko porini. Anapiga anasema mbona hupost picha? Nilikuwa sijawaambia kama cm imepotea, basi nikamwambia 😂 imagine wanaumia wao ambao simu sio yao. Mama ananiambia nunua za laki 2 tu 🤣🤣 aiiii
Ugumu naupunguza nikiwa kwa shemeji ako
Huku kwingine wacha ubakie. Unanisaidia na mengi.
Pole mwaya!!!Wakati mwingine uwe unaweka simu mfukoni ili hata ikitokea wameotea mkoba wasipate simu.Lenie in case of anything 😂😂
Maana naona hii simu haitaki niwe nayo.
Ikipotea tukose wote
Abaki na kopo, na venye password yangu ya Apple ID ilivyo ngumu.
Atauza skrepa.
View attachment 2657614
Asante Cuzo[emoji847]Lita kumi ya mawese nitawatumie watoto wa ndugu zangu hasa COCA mkigawana yeye apewe lita tatu.
Ahahahaha ningekuwaa kivutio 😬😃😃Hahahaaa... ungepigapo foto ukiwa juu ya baiskooo lol!!
Ahahhaa uje na mauaStand nitakuja
Kuiba lazima ufanye practice kama mazoezi Mengine ya kuimba n.k[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787] khaaaa
Haya ni mapya aisee
Pole saana, tumia wale wa mitandao, hawa boda wa mtaani wakati mwingine wanashirikiana na wezi, unaweza kumwona kama vile hajui kumbe ni kati yao.mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao [emoji35]Leo nimewachukia [emoji2961][emoji2961]
Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba [emoji1787]
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.
Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa [emoji1787][emoji1787]
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.
Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.
Lenie
Ka aifon kangeenda na leo [emoji1787]
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii feature inafuta vitu vyako tuu? Au itahusiana na software part piaLenie in case of anything [emoji23][emoji23]
Maana naona hii simu haitaki niwe nayo.
Ikipotea tukose wote
Abaki na kopo, na venye password yangu ya Apple ID ilivyo ngumu.
Atauza skrepa.
View attachment 2657614
Hiyo juisi unakunywa nl baada ya kula ehh, Mana ukiniambia ndo Cha usiku. Nitakupigaaa konzi😂😂
Bro sasa si ndo akanipa ile infinixSimu ya laki 2 jamani itakua na camera ya ukungu hee 🤣
Ila iliondoka kipindi kibaya sana, Ile trip ilitakiwa uturushe roho sana kwa status 😂
Ila umafia saa nyingine unasaidia Sana huku mtaa
duhaliporwa simu, wallet akapigwa visu.... hiyo siku focalistic alikuja pale the hub palijaa sana.... mi niliwahi kuondoka kesho yake ndo nikaambiwa
Mfuko gani shoo? 😂😂 hizi vimini tunavaa zina mifuko kwaniPole mwaya!!!Wakati mwingine uwe unaweka simu mfukoni ili hata ikitokea wameotea mkoba wasipate simu.
Ndio dinner ila usinipige konzi 🙏🏾🙏🏾😔😔Hiyo juisi unakunywa nl baada ya kula ehh, Mana ukiniambia ndo Cha usiku. Nitakupigaaa konzi😂😂
Erase data[emoji23][emoji23][emoji23] hii feature inafuta vitu vyako tuu? Au itahusiana na software part pia
Sent using Jamii Forums mobile app