Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo ndo wanaume waelewe mtu akisema ana boda boda wake. Hizi mambo za kuokoteza boda ndio siku unaweza okota boda mwizi.


Nina marafiki mko na hela 🤣 mngenipa tu nirudi hata kwa ka Xs aisee

Yan sikuwazia simu kabisa wala wallet.. nilikuwa nawazia funguo. Mkoba ulikuwa na funguo za sehemu konkiii mno kuliko hata vikaki kaki vilivyokuwa kwa wallet.
Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.

Hahaa hizo funguo ndio zilikupa ujasiri wa kuhold mkoba kwa nguvu zaidi.
 
Dada Deborah wa form 4 liva, una Roho ya kichalii kabisa😂😂😂
Sanaa 🤣🤣🤣

Boda anashangaa why sibabaiki
Ye amebabaika mno, anasema yeye hajawahi shuhudia hao 3 mzuka kwa macho.
Kwanza ikifika saa 12 uwa anaenda nyumbani. Sasa mie leo nilimkaliza mjini mpk saa 1.
Tumefika home, nimeshuka natoa funguo nifungue gate. Anasema siondoki mpk uingie ndani 😂😂
 
Sanaa 🤣🤣🤣

Boda anashangaa why sibabaiki
Ye amebabaika mno, anasema yeye hajawahi shuhudia hao 3 mzuka kwa macho.
Kwanza ikifika saa 12 uwa anaenda nyumbani. Sasa mie leo nilimkaliza mjini mpk saa 1.
Tumefika home, nimeshuka natoa funguo nifungue gate. Anasema siondoki mpk uingie ndani 😂😂
Yaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.

Ila huku hata mchana unakwapuliwa tu, ukiwa unatembea pembezoni mwa barabara
 
Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.

Hahaa hizo funguo ndio zilikupa ujasiri wa kuhold mkoba kwa nguvu zaidi.
na wanngenibikiri 😄😄
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.

Yan acha 🤣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
 
Nasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso

Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi

Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
Daahh...pole Sana jioni Bora kutopanda boda kisualama Zaidi maana ni hatari Sana waweza jikuta unapata athari Hapo wangewadondosha sijui ingekuaje
 
na wanngenibikiri 😄😄
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.

Yan acha 🤣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
Ila kwanini hukushtuka wala kuogopa🤣
 
Pole sana Miss Depal naona maeneo ya Mwananyamala wanafanya mpaka practical jinsi ya kupora maana wanakuwa watatu halafu wana practice
Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra
 
Yaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.

Ila huku hata mchana unakwapuliwa tu, ukiwa unatembea pembezoni mwa barabara
Nimetoka kuangalia calls
Saa 1 na dk 9, ilikuwa simu ya mwisho ili nitoke mjini.
Na nimefika home, nikawasha Tv bado pazia ilikuwa haijaisha. Means nimefika home b4 saa 2.

Saa moja unajaribu kumpora mtu usiyejua ana nini.. ila wezi hawajipendi kabisa.
Watu wenyewe wa huku pesa kdg mtu ana bastola.
 
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda.
 
Back
Top Bottom