Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Thank u AaliyahPolesana
Thank u AaliyahPolesana
Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.Hapo ndo wanaume waelewe mtu akisema ana boda boda wake. Hizi mambo za kuokoteza boda ndio siku unaweza okota boda mwizi.
Nina marafiki mko na hela 🤣 mngenipa tu nirudi hata kwa ka Xs aisee
Yan sikuwazia simu kabisa wala wallet.. nilikuwa nawazia funguo. Mkoba ulikuwa na funguo za sehemu konkiii mno kuliko hata vikaki kaki vilivyokuwa kwa wallet.
Anaenda kula?
Sanaa 🤣🤣🤣Dada Deborah wa form 4 liva, una Roho ya kichalii kabisa😂😂😂
Yaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.Sanaa 🤣🤣🤣
Boda anashangaa why sibabaiki
Ye amebabaika mno, anasema yeye hajawahi shuhudia hao 3 mzuka kwa macho.
Kwanza ikifika saa 12 uwa anaenda nyumbani. Sasa mie leo nilimkaliza mjini mpk saa 1.
Tumefika home, nimeshuka natoa funguo nifungue gate. Anasema siondoki mpk uingie ndani 😂😂
na wanngenibikiri 😄😄Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.
Hahaa hizo funguo ndio zilikupa ujasiri wa kuhold mkoba kwa nguvu zaidi.
Daahh...pole Sana jioni Bora kutopanda boda kisualama Zaidi maana ni hatari Sana waweza jikuta unapata athari Hapo wangewadondosha sijui ingekuajeNasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso![]()
Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi![]()
Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
Ila kwanini hukushtuka wala kuogopa🤣na wanngenibikiri 😄😄
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.
Yan acha 🤣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
Kaibiwa simu?Ikienda tunanuna nyingine tena, kwani sh ngapi
Shem darling si unae, hatakubali uteseka Jack Palladino
Nimetoka kuangalia callsYaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.
Ila huku hata mchana unakwapuliwa tu, ukiwa unatembea pembezoni mwa barabara
Ndo kilichopo hichoooLenie in case of anything![]()
Maana naona hii simu haitaki niwe nayo.
Ikipotea tukose wote
Abaki na kopo, na venye password yangu ya Apple ID ilivyo ngumu.
Atauza skrepa.
View attachment 2657614
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda.![]()













Doh pole sana shem darlingna wanngenibikiri 😄😄
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.
Yan acha 🤣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
Kawaidaaa mbonaShukrani Mazziyahh
Hao boda wamechanganyikiwa aumna practice kuiba!!






🤣😂😂 used kama laki 9 hiviIkienda tunanuna nyingine tena, kwani sh ngapi
Shem darling si unae, hatakubali uteseka Jack Palladino
🤣🤣 khaaaaKawaidaaa mbona![]()
AmenusurikaKaibiwa simu?
Na Mimi tena ? 🤔Shukrani Mazziyahh
Hao boda wamechanganyikiwa au 🤣 mna practice kuiba!!
NIlishaweka oda ya new iphone 14 daah😊Amenusurika