Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣 kama ulikuwa haujui kwa nini Yanga huwa inataniwa kwa kuitwa "gongowazi" sababu ni hii

20230531_123536.jpg


Kutoka Maktaba
 
Yess dear km uwezo upoo unafanyaa.
Labda uwe serious sana na mie
hizi za come you hit and go hapana aisee 😂😂😂 .

heheeee uniache niwaze pesa , muda , na mawazo niloyokuwekea wahallah no
 
Walimu WA kiume washenzi sana ndo waharibifu WA kwanza WA watoto wenu
Sio wotee ila baadhi
Inasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefu
 
Back
Top Bottom