mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,798
dah, nilijua niko mwenyewe kwenye kula wali dagaa, watu wananiambia mimi ni mshamba😂
dah, nilijua niko mwenyewe kwenye kula wali dagaa, watu wananiambia mimi ni mshamba😂
Walimu WA kiume washenzi sana ndo waharibifu WA kwanza WA watoto wenuWanaoweza kula wanafunzi ni wahuni tu [emoji28][emoji28].. kama upo na humanity huwezi aisee..
Walimu tuna hali ngumu......Walimu WA kiume washenzi sana ndo waharibifu WA kwanza WA watoto wenu
Sio wotee ila baadhi
Achana nao hao, hawajui lolote!!!😏dah, nilijua niko mwenyewe kwenye kula wali dagaa, watu wananiambia mimi ni mshamba😂
Inasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefuWalimu WA kiume washenzi sana ndo waharibifu WA kwanza WA watoto wenu
Sio wotee ila baadhi
Wapewe maua yaoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha yeah , wanatuwakilisha vyema huko [emoji23][emoji23]
Kuna wadada wana maji wacha tu [emoji3]Ukichomoka wapi? Umewekwa ndani ya chupa au glass?
Kuna wadada wana maji wacha tu [emoji3]
Jr kakuta kwenye mfuko wa suruali yake 🤓...njoo msindikizane.😀😃😃 naomba ile buku me nikalete mishkaki nile na wali
Yaani hunishindi mimi aisee, kwenye ule wimbo wa darassa aliua😍😅Ms eyes huyu Dj namkubali na ile miluzi yake inayonogesha amapiano.
Ila hiyo location sasa 😏😏View attachment 2641056
Umekua single miaka mia ngapi mpaka ufike huku???
Nipo Cocah😍Karibuu dyadyaaaa, ulipoteleaa wapiii???
Hiki kinaonekana kizuri
Kwa kweli mji mgumuu huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo Cocah[emoji7]
Vyuma tu vimekaza mambo yanakuwa mengi
Hao wadada Wana nafasi Yao mbinguni.weuweeh sema kuna wadada wanayaweza mtu anajitoa kabis anamnununulia mtu PS5
Naona wanatoaga sana kwenye Send off huko .
Haya mambo ya kupigia kampaign watu alikuwa anayaweza KapachinoWajumbe sio watu wazuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanakuambia "we ulisikia wapi DARUSO inaongozwa na mwanamke, nani alisema??"
Ila wajumbe siwawezii kwa kweli, kwa jinsi Alice alivyokuwa ananadiwaa nilijua mapema tyuuh anatangazwa ubingwa, uwiiiiiiiii
Wajumbee hapanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2641095View attachment 2641096