cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,335
- 188,007
Woiiiiiii dear hii avatar umeipatiaa mnooooile avatar yangu ya kwanza ndo naipenda , hii nipo nayo tu .
niilifuta kwa simu .
Iko vyediii [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Woiiiiiii dear hii avatar umeipatiaa mnooooile avatar yangu ya kwanza ndo naipenda , hii nipo nayo tu .
niilifuta kwa simu .
Mbeya moja hiyooo 😊
Ndiyoooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mkongwe ukiniona utoaminNahisi utakuwa labda una miaka 2
NainjoyMbeya moja hiyooo 😊
Duh kuna usalama kweli hapo?[emoji1787]
[emoji444]Subira umesubiri umesubiri sana
Nn sijakuridhisha,kukupenda nakupenda sana
Nakupenda sana kipi Cha kukupa presha
Ama.massage nying sana ooh
Ndo zinazokutisha aah
Au missed call nying sana
Roho zakupeperusha
Kama ni hamu ushanimaliza huo utamu
Mpaka nasaza vingine sumu zitaniumiza ooh[emoji444][emoji444]
Antonnia
Pamoja nimetembelea baadhi ya maeneo ya Mbeya na Songwe. Hiyo wapi?Nainjoy
Acc ya kuweka ada utaikuta PM
😂😂😂 wewe acha uzungu wako wa kuiga uko canada bongo uku ulikuwa unakula na mafua yako 😂😂😂 umesahau njoo ukule kama utaki nakulisha kwalazimaDuh kuna usalama kweli hapo?[emoji1787]
Shikamoo shemeji"The purpose of our lives is to be happy." — Dalai Lama
View attachment 2642154
Mbeya mjini hii nasubir gar ya kurud mjiniPamoja ninetembelea baadhi ya maeneo ya Mbeya na Songwe. Hiyo wapi?
Hahaaaa 😀😀😀
Shemij yako kwanani?Shikamoo shemeji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii naomba niwacheee, nimecheka km chiziii, kweli likizo imebambaaa.[emoji444][emoji444]Sasa ninawaambia ,Kijana yupo makini
Wala haitji kocha maximo Yuko chin
Haitaji msaada wa jezi kiwanja anacho ndani
Anafyatua vifaa kama yupo marekani eeh[emoji444][emoji444][emoji444]
Antonnia
Ndaga ndaga😂😂😂😂😂
Utaki sioHahaaaa 😀😀😀
Kumekuchaaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji444]Hebu lala uamke nikiwa na mbali na wee
Hebu kulakikushuke ukipenda jishebedue
Wasikutishe akili wasikutibue
Wanaoleta sekeseke ,waambie ooh bibi unitue
Utapewa maneno na wapekewape
Ukose Raha usichangamke
Pembeni uweke mm ndo wako naekufanya ucheke[emoji444]
Sasa naenda kula chips soon 😂😂Ndaga ndaga😂😂😂😂😂