Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna kipindi nilimtembelea mstafu flani kule kyela - ipinda. Ulikuwa msimu wa mavuni, asubuhi wanapika sufuria kwa la wali na maharage, hapo ni breakfast, lunch, dinner. Wali wa mawese, maharage mawese halafu bila chunvi dadeki😂

Shoo ikapigwa siku tatu mfululizo, ikabidi niombe ugali😅.
Uku ugali mda wote
 
  • Thanks
Reactions: 511
😂😂😂😂 I miss you my dear.

Wee si waliniban aisee
Jamani why???😳😳😳

Pole!! Glad you are back!🤗
Nilishangaa kutokukuona kutwa nzima!😮

Karibu ule 🍟 huku unanielezea sababu ya kupigwa ban.😁😁
20230530_141436.jpg
 
Jamani why???😳😳😳

Pole!! Glad you are back!🤗
Nilishangaa kutokukuona kutwa nzima!😮

Karibu ule 🍟 huku unanielezea sababu ya kupigwa ban.😁😁
View attachment 2640290
Kiepe kinavutia 😍😍

Nilikuta ban nadhani jumapili jioni hivi 😂
Nikiangalia kosa ni la tokea May 23.
Nikaamka nikaenda zangu kunywa cappuccino, nishushe stress.

Nikaja hapa na vazi jipya, likawa halibambi nikasepa zangu 😂😂😂
Nikaenda kuomba msamaha kwa Mods
Leo wakaniachia 😍😍


IMG_6674.jpeg
 
Back
Top Bottom