Acha kabisa af et anakwambia sis atutupi chakula mjomba kulaUdugu wajomba wanataka upate kitambi?
Acha kabisa ase wananikomoa sana 😂😂 af wanakwambia sisi atutupi chakula
Ukujee kuna udambu udambu wa kushatooooninavyopenda udambwi dambwi sasa naja





fanya uwahi Uduguuu.sio kidogo 😂alikua analia Sana
Ww umeona miguu tu embu niacheUdugu huo ni mguu wako?
Uku ugali mda woteKuna kipindi nilimtembelea mstafu flani kule kyela - ipinda. Ulikuwa msimu wa mavuni, asubuhi wanapika sufuria kwa la wali na maharage, hapo ni breakfast, lunch, dinner. Wali wa mawese, maharage mawese halafu bila chunvi dadeki😂
Shoo ikapigwa siku tatu mfululizo, ikabidi niombe ugali😅.
Kula uongeze mwili!Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa
Ninenep kama wewe sio sitakKula uongeze mwili!
usiposhindilia ugali hii baridi ya mbeya itakuua😂 na ulivokondeana 7°C itakunyooshaNipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Acha kabisa mzeusiposhindilia ugali hii baridi ya mbeya itakuua😂 na ulivokondeana 7°C itakunyoosha
Ninenep kama wewe sio sitak
Jamani why???😳😳😳😂😂😂😂 I miss you my dear.
Wee si waliniban aisee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila weeeeee 🤣🤣🤣
palipoa sana humu😂eti totoo ya kweli hayo 😂😂😂
Nimeenda kusalimia nyumbanUmefata nini Mbeya?
nitakuja kulipoza tumbo shangazii usijaleee... likianza tu kuuma niambie 😅😅Nisipoumwa tumbo leo sijuiiiiii!🙌🙌!
Nidhajizoelea ugal mieee!!♥️
Kiepe kinavutia 😍😍Jamani why???😳😳😳
Pole!! Glad you are back!🤗
Nilishangaa kutokukuona kutwa nzima!😮
Karibu ule 🍟 huku unanielezea sababu ya kupigwa ban.😁😁
View attachment 2640290
Ungepamwagia jivu la moto 😂😂😂😂palipoa sana humu😂