Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Na service hapo hapo 😂😂😂
Na service hapo hapo 😂😂😂
Sound system hapo hapo 😂😂
😂😂 inategemea unaenda wapiyeah ndo shida hapo aisee
Bajaji zinatusave ,mambo ya kutoa 20K hapana
Nyau we 🤣🤣🤣Asante sana😂😂
Nunueni tu magari aisee
Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure 😂😂😂 inategemea unaenda wapi
Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna?
Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Ni gharama huku inategemea na distance pia .😂😂 inategemea unaenda wapi
Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna?
Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Sijajua uduguHahaa unarudi lini kwani
Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. 😂😂 MwachiluwiUdugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa
kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure 😂
Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .
tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .
aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
heheh aturudishe buguruni tenaPoleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
Poleni.heheh aturudishe buguruni tena
na ni bajaji 😂😂😂 .
Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
Asante KakaPoleni.
Acha kabisa ase wananikomoa sana 😂😂 af wanakwambia sisi atutupi chakulaMzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. 😂😂 Mwachiluwi
Na chips yai🤣🤣🤣Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. 😂😂 Mwachiluwi