Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .
tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .
aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
Mgemgombania tu kama mpira wa kona