Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂 inategemea unaenda wapi
Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna?
Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Ni gharama huku inategemea na distance pia .

haha ukikutana na foleni mnalo
inategemea na mnapoenda pia

kama ni distance fupi utakutana kwanzia 10 to 15 .
 

Attachments

  • 1CE18533-5788-44E1-9EA1-7FDD05195EDA.jpeg
    1CE18533-5788-44E1-9EA1-7FDD05195EDA.jpeg
    1.2 MB · Views: 8
Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure 😂
kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .

tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .

aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
 
  • Kicheko
Reactions: 511
kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .

tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .

aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
 
Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
heheh aturudishe buguruni tena
na ni bajaji 😂😂😂 .

Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom