Tulia 🤣🤣🤣Imekuaje umeachiliwa siku 2 akati ban ni ya miezi miwili??
Tusio na connection humu mbona tutajuta🙆🏾
Me nilikua nambembeleza huyo Depal maana alikua analia Sana baada ya kupigwa banPole sana, jana mshamba_hachekwi alikuwa mkiwa sana, Lenie nae akamkimbia. 😅
Sijapentaaaaa🤣🤣Tulia 🤣🤣🤣
Mtachakaa🤣🤣🤣🤣
yeah ndo shida hapo aiseeNdio tatizo hilo barabara zenu watu wa Dar
🤣🤣🤣🤣
Ngoja nimfate chemba anipatie na mie hiyo connection, maana hatujui ya kesho
Pambana, hope mwezi June itakuwa imefika. Kutembea umekaa kuna raha yake😂Halijafika bado
kiukweli usafir huwa unanichosha kutoka nyumbani hadi huko .
NakaziaPambana, hope mwezi June itakuwa imefika. Kutembea umekaa kuna raha yake😂
Aisee hongereni yenu 😂😂Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji
[😅Me navyojifanyaga nunda sasa 🤣🤣
Aki nianze kupractice kipaji kipya cha kulia sasa
Raha sana aiseeePambana, hope mwezi June itakuwa imefika. Kutembea umekaa kuna raha yake😂
Asante sana😂😂Aisee hongereni yenu 😂😂
sie kutwa kulalama hapa
nashukuru napokaaa usafiri husumbui kihivyo , labda siku umechoka na hujisikii kupanda daladala .
Alipigwa ban ya miezi miwili ila kaachiwa huru baada ya siku 2
We huoni maajabu hayo?
Wacha tu niwe chawa wake kuanzia leo
Full tanks mbona hata sio bei🤣🤣
Ngoja tutunze aiseeAsante sana😂😂
Nunueni tu magari aisee