Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji
Aisee hongereni yenu 😂😂
sie kutwa kulalama hapa

nashukuru napokaaa usafiri husumbui kihivyo , labda siku umechoka na hujisikii kupanda daladala .
 
😂😂 inategemea unaenda wapi
Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna?
Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Ni gharama huku inategemea na distance pia .

haha ukikutana na foleni mnalo
inategemea na mnapoenda pia

kama ni distance fupi utakutana kwanzia 10 to 15 .
 

Attachments

  • 1CE18533-5788-44E1-9EA1-7FDD05195EDA.jpeg
    1CE18533-5788-44E1-9EA1-7FDD05195EDA.jpeg
    1.2 MB · Views: 9
Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure 😂
kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .

tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .

aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom