Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 Ngoja Depal aone hili jibu lako.
Mwambie aseme ukweli alikuwa wapi asisingizie ban🏃🏃
Alipigwa ban ya miezi miwili ila kaachiwa huru baada ya siku 2
We huoni maajabu hayo?

Wacha tu niwe chawa wake kuanzia leo
 
  • Kicheko
Reactions: 511
😂😂 Ongea vizuri na watu wewe, hukuona Depal anasema jana alikuwa na kazi ya kulia na leo yuko free from ban😅. We kama uwezi kulia pole sana Lenie
Me navyojifanyaga nunda sasa 🤣🤣

Aki nianze kupractice kipaji kipya cha kulia sasa
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji
Aisee hongereni yenu 😂😂
sie kutwa kulalama hapa

nashukuru napokaaa usafiri husumbui kihivyo , labda siku umechoka na hujisikii kupanda daladala .
 
Back
Top Bottom