Happiest birthday kwa DingiMore life to my Father aka Mshua.View attachment 2639219

Jamaa yupo vizuri sana kwenye aina ya mziki wake, Kwa mbali ana sikika kama Walter Chilambo and likes, ila nimegundua naye huenda ni Mnyaki wa Mbeya.Ngoma huwa naikubali sanaa
Kweli Nimezeeka sasa, kama Wajukuu wanatimiza miaka 45 Babu yao ana haki kuwa rika na Mzee Mwinyi 🤪Li Shangazi
45 years of age !!
Happy birthday to me!!
More years to come!!
Hizi embe bado zipo kumbe, last April nilinunua njiani pale Morogoro karibu na Bwawa la Mindu
Ukikuwa utaacha 🙌🏻🙌🏻🙌🏻😄😄😄😄😄Bantu Lady mic u aunt 😍😍😍😍
Zipo, hizo ni za tanga. Nipe oda mkuuHizi embe bado zipo kumbe, last April nilinunua njiani pale Morogoro karibu na Bwawa la Mindu
Looks so delicious 😋
Bwawa la mindu , nimelikumbuka .Hizi embe bado zipo kumbe, last April nilinunua njiani pale Morogoro karibu na Bwawa la Mindu
Looks so delicious 😋
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana 😂😂😂😂😂😂😁😁😁😊😊😊😂😂! USM ALGER Katukaliajee kooni wana 💛💛💚💚 utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunaloooo😊😂😂!
cocastic mtrajejoooooooo sie💛💛💚 hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu 😂!!!Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana 😂😂😂😂😂😂
Hahaha...........amen 🙏Amen amen granpaa etuuuu!!!
Kweli Kabisa mbona Mwinyi akasomeee😁!
Kumbe unalifahamu, kuna samaki wanaitwa Nguruka nilidhani ndiyo wanatoka pale kumbe sivyo 😅Bwawa la mindu , nimelikumbuka .
Naweza kuhitaji kiasi kwa matumizi binafsi, naweza kupataje?Zipo, hizo ni za tanga. Nipe oda mkuu
Eti Li mshangaziLi Shangazi
45 years of age !!
Happy birthday to me!!
More years to come!!
Nakutania mkuuNaweza kuhitaji kiasi kwa matumizi binafsi, naweza kupataje?
Sawa, ila miezi hii sijui kama zinaweza kupatikana.Nakutania mkuu
Hizo kuna mzee aliniletea mwaka jana, kwa sasa sina hakika kama anazo. Ngoja nitamcheki kama anazo nitakupa namba yake.