Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚! USM ALGER Katukaliajee kooni wana πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’š utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunalooooπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚!
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
cocastic mtrajejoooooooo sieπŸ’›πŸ’›πŸ’š hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu πŸ˜‚!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu πŸ•Ίhakuna mwingineerπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
 
We're ideologically promiscuous, and loose canon!...
To put it in more simple terms, Tanzania is ramshackle kleptocracy.......
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

You've made my day with that flawless explanation of our political ideologyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚....buuuuut, I wanted to know yours!
 
20230529_200247.jpg
20230529_200624.jpg

Depal umepotelea wapi leo???
 
Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah πŸ˜‚ Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
 

Attachments

  • C31C751E-03C1-4422-A54C-2F45224B3509.jpeg
    C31C751E-03C1-4422-A54C-2F45224B3509.jpeg
    1.2 MB · Views: 9
  • 85CC3CC0-AF08-4707-861C-4DB84D8EB93F.jpeg
    85CC3CC0-AF08-4707-861C-4DB84D8EB93F.jpeg
    1.3 MB · Views: 10
Acha tu

Wa kina khumbu ni shida
Kuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu πŸ™Œ

Tulikuwa na Wazungu pia mule ndani, walimtolea udenda sana yule Msouth, na mwenyewe akawa anajiachia mara aende kule mara pale ili mradi Watu wakose utulivu.

Nikawaza na tukio lako la kupotelea Kwa Madiba nikahisi umeshatekwa tayari πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Back
Top Bottom