Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu pastor kiboko
JPEG_20230529_184049_9200817460695306554.jpg
 
Ngoma huwa naikubali sanaa
Jamaa yupo vizuri sana kwenye aina ya mziki wake, Kwa mbali ana sikika kama Walter Chilambo and likes, ila nimegundua naye huenda ni Mnyaki wa Mbeya.

Kuna wimbo nimesikia mwishoni anaimba maneno ya Kinyaki.

Ikiwa Kwelibasi Mbeya itakuwa imeteka mziki wa Gospel 🙌
Tusishangae siku moja Saint Anne naye akawa anatuuzia Album zake za Gospel in future 🙌
 
Umeona hili kumbe, yaani kaingia rasmi. Ajipange sana hapo bado atakimbia yeye... Sisi Yanga hatujaanza ishabikia jana 😂😂😂😂😂😂
cocastic mtrajejoooooooo sie💛💛💚 hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu 😂!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu 🕺hakuna mwingineer🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
 
Back
Top Bottom