Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

cocastic mtrajejoooooooo sie[emoji169][emoji169][emoji172] hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao[emoji16][emoji16].. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu [emoji23]!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu [emoji1739]hakuna mwingineer[emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shouzzzz hebu relaaaaaxxx kwani, kwa mpira gani mlonaooo wa kubadili matokeo kuleeeeee???

Thubutuuuuuuuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.

Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.

Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Udugu unapenda kashikashi kwahiyo Madenge [emoji1787][emoji1787] emu subiri kwanza, unajua coco nilimchamba mgauni wake wa harusi mbaya km wa kupokelea kipaimara akanitia padlock

Ngoja nipite kitaa hiko siku nyingi sijakatiza tutani napitwa na mengi [emoji12]
 
cocastic mtrajejoooooooo sie💛💛💚 hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu 😂!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu 🕺hakuna mwingineer🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
😅😅😅 naona sasa utopolo mnajificha kwenye kivuli cha magoli ya Mayele

Hamwezi kupindua matokeo kwa Waarabu nasemaje hamuwezi niko pale nimekaa. Kule mnaenda kufa goli nyingi si chini ya nne
 
Back
Top Bottom