Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,578
- 66,244
Karibu san utanikuta hapa nipo nipoKumbe ndiyo kwenu, hongera sana.
Next week kuna mzigo nakuja kuchukua, kama utakuwa around nitakuona tukachome mbuzi pale Mjele
Karibu san utanikuta hapa nipo nipoKumbe ndiyo kwenu, hongera sana.
Next week kuna mzigo nakuja kuchukua, kama utakuwa around nitakuona tukachome mbuzi pale Mjele
Poa, nitafika hapo Centre na nitakuchekiKaribu san utanikuta hapa nipo nipo
Ugali ndio msosi wangu, tatizo lako umezoea chips mayai😅Wewe nakujua umaliz uonugali wew
Shida wewe baba umenilea kizungu sana 😂Ugali ndio msosi wangu, tatizo lako umezoea chips mayai😅
Karibu sanaPoa, nitafika hapo Centre na nitakucheki
Happy Borthday LishangaziLi Shangazi
45 years of age !!
Happy birthday to me!!
More years to come!!
😂😂😂😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Ukikuwa utaacha 🙌🏻🙌🏻🙌🏻😄😄😄😄😄
hbd mnywani!!Li Shangazi
45 years of age !!
Happy birthday to me!!
More years to come!!
Shame darling unaji mwaya mwaya!
Yeah pazuri sana, mandhari ya kuvutiaKuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbari
Kuhusu vyakula, Morogoro wapo vizuri. Kuna hadi Magimbi kule, so delicious
Happy birthday 🎂Li Shangazi
45 years of age !!
Happy birthday to me!!
More years to come!!
Yaani huwezi hangaika kisa chakula huko .Kuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbari
Kuhusu vyakula, Morogoro wapo vizuri. Kuna hadi Magimbi kule, so delicious
Tubariki na moja tu ,birthday girlThankyuuuu ndugu mjumbe!!
Nishazeeka mieeee😊!
Madhari imetulia mno 🙌Yaani huwezi hangaika kisa chakula huko .
nimepamiss sana a
Sana kwa kweli, panavutia mnoYeah pazuri sana, mandhari ya kuvutia
pazuri sana kilimani fulani hiviMadhari imetulia mno 🙌
Sana kwa kwelipazuri sana kilimani fulani hivi
Uende utembeelee hapo BabuSana kwa kweli
Shem mtarajiwa kitambi hakiji kwakujinyima.🤓Shame darling unaji mwaya mwaya!