Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Yaani huwezi hangaika kisa chakula huko .Kuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbari
Kuhusu vyakula, Morogoro wapo vizuri. Kuna hadi Magimbi kule, so delicious
nimepamiss sana a