Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Wageni wangu na Jr wanapenda!🙂Ukapika za nini?
Wageni wangu na Jr wanapenda!🙂Ukapika za nini?
Naomba 1 totoo
Usingizi mwema 😂🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤
Hata sijala, nataka kunap kwanza!😌
Agiza Bavariaangalau hizo zinakaribia bia ila zina sukari sana 😂
Nimeondoka ziro soon nakutafuta ufungue kodi vzr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.
Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.
Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ni ghali ujue....😂 hizi malta zitanisogeza wikiAgiza Bavaria
nikiendaga na watu wanaokunywa naaagiza hiyo .
Umo kweli au unatuchota??😶🌫️😂😂😂😂😂
Puff Puff pass
My Mary J..
I’m high on life
Wanna meditate 🧘♀️
So allow me, make I enjoy life 🥳🎈
Coz problem no dey finish ee
Everyday different wahala
Problem no dey finish ee 😋😂
hahha shs ngapi kwanini ghali ujue....😂 hizi malta zitanisogeza wiki
hapa ndo tunapotofautiana😂huwa nalipiwaa
🤣🤣🤣🤣 guesss!!Umo kweli au unatuchota??😶🌫️
Me nisingekaa huko.baridi ni kali huku mwanangu 😂
View attachment 2636785
Sio mbaya Mkuuhapa ndo tunapotofautiana😂
hizo tatu hapo nimechukua 4500
ndio maana mbeya kwenye ukimwi iko top 5😂 watu hawapoiMe nisingekaa huko.
Mon - sunndio maana mbeya kwenye ukimwi iko top 5😂 watu hawapoi
Kwa kupenda umbea hujambo, wahi twitter kajionee.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeondoka ziro soon nakutafuta ufungue kodi vzr
Ahahaha mimi uko nimetoka niliona sielewi nakuja pmKwa kupenda umbea hujambo, wahi twitter kajionee.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]