Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,857
Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapoSema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde)
ndo maaana wakajidai hivyo .
Arrgggh ilikuwa kero kuna jirani mmoja mpangaji mwenzangu ana makelele huyo bora walivyofungwa 😂😂
Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo 🤣🤣





