Msimkimbie tu watu wajf kwa kuwajaza madog af mnakombia mitini
Msimkimbie tu watu wajf kwa kuwajaza madog af mnakombia mitini
Ahahah sasa si umemwambia aki graduateWewe hapo alipo na mwanjerwa kuna umbali gani😅 si anakuja hata kwa miguu tu hapa tunauza mitumba. Au umeelewaje mzee baba😂
Kunywa tena??😳😳😳bamia,nyanya chungu aisee hivi vitu ni kazi sana kwangu kula hasa bamia.
hongera sana kama unaviweza ni muhimu sana mwilini mimi inafika wakati nasaga bamia glasi naligida mara mbili kwa wiki kama dawa
Kwanii graduate hawezi uza mitumba hapo mwanjerwa?Ahahah sasa si umemwambia aki graduate
Muandae kiakili si unajua vijana wasikuizKwanii graduate hawezi uza mitumba hapo mwanjerwa?
Sisi tunaopenda kudeka tunapenda wazee wanatuona km wajukuu zao wanatudekeza tu😂😂😂wee Baki na vijanawako 😀😀Hayo mengii siyatakiiii, muda wangu badoo.
![]()
Ooh hongera sanaNdiyo dear
Muandae kiakili si unajua vijana wasikuiz
Kutembeza bahasha ni kazi ngumu sanaHuyu kwa sasa hataelewa, acha atembeze bahasha mwaka mzima kisha ndio unampa somo lazima ajae tu.
Kunywa tena??😳😳😳
Ongea na wenyeweji wa huko vizuri uonyeshwe zinapouzwa.🙂Mimemiss sana hiyo kitu daah😋
Okra reduces stress,
Lowers the risk of cancer and heart diseases,
Is a rich source of folate,
Miss you too kivuruge. Ukuje ukujeeeeeInbox itakujiaaaa,
Nimekumic mnooo, maana kuanzisha uzi naona tabu.
Ongea na wenyeweji wa huko vizuri uonyeshwe zinapouzwa.🙂
Usijali, utaenjoy msosiHakika nitakuwa mtiifu sana wa kupokea zawadi za bagia toka kwako 😅 weka piilpili mingiiii
💐💐🌺Usijali, utaenjoy msosi
Asante dadaOoh hongera sana
Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubaya😂😂View attachment 2638179
Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata 🤪🙌
Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.
Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi 🙌
Amepotea song by Mbosso Khan
Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli 🤪
Hello Sunday 🥂