Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Ongea na wenyeweji wa huko vizuri uonyeshwe zinapouzwa.🙂Mimemiss sana hiyo kitu daah😋
Okra reduces stress,
Lowers the risk of cancer and heart diseases,
Is a rich source of folate,
Ongea na wenyeweji wa huko vizuri uonyeshwe zinapouzwa.🙂Mimemiss sana hiyo kitu daah😋
Okra reduces stress,
Lowers the risk of cancer and heart diseases,
Is a rich source of folate,
Miss you too kivuruge. Ukuje ukujeeeeeInbox itakujiaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumic mnooo, maana kuanzisha uzi naona tabu.
Ongea na wenyeweji wa huko vizuri uonyeshwe zinapouzwa.🙂
Usijali, utaenjoy msosiHakika nitakuwa mtiifu sana wa kupokea zawadi za bagia toka kwako 😅 weka piilpili mingiiii
💐💐🌺Usijali, utaenjoy msosi
Asante dadaOoh hongera sana
Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubaya😂😂View attachment 2638179
Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata 🤪🙌
Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.
Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi 🙌
Amepotea song by Mbosso Khan
Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli 🤪
Hello Sunday 🥂
Kwa Uzee huu muda wote tunatakiwa kupelekwa Kliniki Mwanamke gani ataweza kuchukua risks hiyo 🤪Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubaya😂😂
😂😂🙌Kwa Uzee huu muda wote tunatakiwa kupelekwa Kliniki Mwanamke gani ataweza kuchukua risks hiyo 🤪
Kufichwa ni hatari Mjukuu 🙈
Nilitaka kuongea neno hapa ila Wakili wangu amenikataza 🙈
Kila la kheri Wananchi, ila mpunguze kutusimanga Ndugu zenu wa mtaa wa Msimbazi mkishinda 🤪Kila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💪💚💛💛!!
Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!View attachment 2638179
Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata 🤪🙌
Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.
Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi 🙌
Amepotea song by Mbosso Khan
Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli 🤪
Hello Sunday 🥂
Uwe nini?Naomba niwe au basi......
Amina amina kubwaaaaa granpa!!💛💚💚💪!Kila la kheri Wananchi, ila mpunguze kutusimanga Ndugu zenu wa mtaa wa Msimbazi mkishinda 🤪
Naona plan ya kuendelea kuvisakafia bado iko 👌😂That steak looks 👌🏾 😋 😍
Ila ingekua na mafuta mafuta kidogo bana!🙈🙈
Mwanafunzi wako wa marry jUwe nini?
Babu yenu sina jipya, hapa navuta zangu kiko tu 🤪Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!
Usisahau mchezeshe rafu kama zoutreeee!💪💃🕺
Samaki wamekodoa macho 😂😂Depal sisi tunashinda humu....View attachment 2638123