Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,698
Kwa Uzee huu muda wote tunatakiwa kupelekwa Kliniki Mwanamke gani ataweza kuchukua risks hiyo 🤪Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubaya😂😂
Kufichwa ni hatari Mjukuu 🙈
Kwa Uzee huu muda wote tunatakiwa kupelekwa Kliniki Mwanamke gani ataweza kuchukua risks hiyo 🤪Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubaya😂😂
😂😂🙌Kwa Uzee huu muda wote tunatakiwa kupelekwa Kliniki Mwanamke gani ataweza kuchukua risks hiyo 🤪
Kufichwa ni hatari Mjukuu 🙈
Nilitaka kuongea neno hapa ila Wakili wangu amenikataza 🙈
Kila la kheri Wananchi, ila mpunguze kutusimanga Ndugu zenu wa mtaa wa Msimbazi mkishinda 🤪Kila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💪💚💛💛!!
Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!View attachment 2638179
Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata 🤪🙌
Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.
Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi 🙌
Amepotea song by Mbosso Khan
Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli 🤪
Hello Sunday 🥂
Uwe nini?Naomba niwe au basi......
Amina amina kubwaaaaa granpa!!💛💚💚💪!Kila la kheri Wananchi, ila mpunguze kutusimanga Ndugu zenu wa mtaa wa Msimbazi mkishinda 🤪
Naona plan ya kuendelea kuvisakafia bado iko 👌😂That steak looks 👌🏾 😋 😍
Ila ingekua na mafuta mafuta kidogo bana!🙈🙈
Mwanafunzi wako wa marry jUwe nini?
Babu yenu sina jipya, hapa navuta zangu kiko tu 🤪Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!
Usisahau mchezeshe rafu kama zoutreeee!💪💃🕺
Samaki wamekodoa macho 😂😂Depal sisi tunashinda humu....View attachment 2638123
😂😂😂 lete hela tukasokotewe kwanzaMwanafunzi wako wa marry j
Kapatana nazoAhhaah yeye kazipata?
😂😂😂 lete hela tukasokotewe kwanza
Hahahaaa... thubutruuuuuuuuuu sio kwa babu etu wewee 😁!Babu yenu sina jipya, hapa navuta zangu kiko tu 🤪
Hujambo lakini Mjukuu, Bibi yako anakusalimia sana
Mabamia napenda na biringanya 😋😋
Mabamia napenda na biringanya 😋😋
Kuwa na amani na Babu yenu, hapa zimebaki simulizi tu 🤪Hahahaaa... thubutruuuuuuuuuu sio kwa babu etu wewee 😁!
Niko vyedii sana babuuu namie namsalimia sanaa!!