Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mzee wa kupambania naanza kuwapenda waarabu 😂😂😂😂
Mzee wa kupambania naanza kuwapenda waarabu 😂😂😂😂
USM ALGER for lifeMzee wa kupambania naanza kuwapenda waarabu 😂😂😂😂
Waache dharau zaoAwwwh na iwe hivyo
hawezi kumdharau Mgunda kiasi kile .. makelele yalikuwa mengi .
Sema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde)Waache dharau zao
Walikuwa wana kelele sana hawa Utopolo, Waarabu wamejua kuunyamazisha mji na zilizokuwa kelele za vyura wa jangwani
Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapoSema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde)
ndo maaana wakajidai hivyo .
Arrgggh ilikuwa kero kuna jirani mmoja mpangaji mwenzangu ana makelele huyo bora walivyofungwa 😂😂
Yeah walikutana na slope aiseeWalikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo
Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo 🤣🤣
Hakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyoYeah walikutana na slope aisee
Tp mazembe ishajichokea sasa
wasubiri mwakani .
Sure thingHakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyo
Nakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sanaSure thing
hamna kitu pale , bahati ishaisha sasa 😂😂
Exactly aiseeeNakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli aunt.Sisi tunaopenda kudeka tunapenda wazee wanatuona km wajukuu zao wanatudekeza tu[emoji23][emoji23][emoji23]wee Baki na vijanawako [emoji3][emoji3]
Nakujaaaa mama maleziiii, na venyee leo nna vibee woiiiiiihMiss you too kivuruge. Ukuje ukujeeeee
Waarabu wanajua aisee yaani Yanga hata hawajamaliza kushabikia vizuri goli lao jamaa wakawafunga mabakuli yao 🤭Exactly aiseee
tungekuwa wote kitaaa , hao jamaa wana uchungu na kombe
Poleeeeeee wee na mmekandwaaaaaaaaa.Kila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji123][emoji172][emoji169][emoji169]!!