Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,313
👽👽👽😠😠😠Kila la kheri, ingawa mmeshatanguliwa bao 1
👽👽👽😠😠😠Kila la kheri, ingawa mmeshatanguliwa bao 1
Mbona mapema hivyo, unaenda wapi
Kesho nitarudia na majibu ya DNA ya ule mkono ulioshika glass 😂Kisa bwana ako mchaga
Check Boli inatembea Mjukuu (in Mgunda Voice) 😅🏃🏃🏃👽👽👽😠😠😠
wewe ni mchaga??Mbege
Acha wivu wewe😂Kufungiwa kwema
Si alikuja ukamtoa baru?Acha wivu wewe😂
Sijapata wa kunifungia, natamani sana kufungia
Uje ukiwa umeya laminate kabisaKesho nitarudia na majibu ya DNA ya ule mkono ulioshika glass 😂
Haya majamaa meupee Alooooooohh 🙌🙌🙌👽!Check Boli inatembea Mjukuu (in Mgunda Voice) 😅🏃🏃🏃
Nipo ukweniwewe ni mchaga??
weMpenzi wako nani hapa
Dah....game inatia pressure hii!😟😟Akhsaaanntrrrreeeeehhh
!!
Achana nao kwanza mpaka ⚽️ liishe....Banks family took my time.
Sijawasha TV leo kabisa 😂😂😂
Yanii warabu sio poa Kabisa!! . Ngoja wajipange warudi tuone hali itakuaje!!Dah....game inatia pressure hii!😟😟
Bibi yako nyumbani ni shabiki wa Yanga, hivyo nalazimika kuonesha naumia Yanga ilipofungwa hili bao la Kwanza, lakini kimoyo moyo naombea mfungwe bao la pili.Haya majamaa meupee Alooooooohh 🙌🙌🙌👽!
Vumilieni, mechi mtashinda hii bao 2-1 🤪🤪Dah....game inatia pressure hii!😟😟
🤞🏾 🤞🏾 🤞🏾😔Yanii warabu sio poa Kabisa!! . Ngoja wajipange warudi tuone hali itakuaje!!
😓😓Vumilieni, mechi mtashinda hii nao 2-1 🤪🤪
Mfyuuuu 👽👽👽👽😣!Bibi yako nyumbani ni shabiki wa Yanga, hivyo nalazimika kuonesha naumia Yanga ilipofungwa hili bao la Kwanza, lakini kimoyo moyo naombea mfungwe bao la pili.
Maana nimeteseka sana Yanga kuingia Fainali 🏃🏃🏃
Mchawi si lazima arogeee 👽Vumilieni, mechi mtashinda hii nao 2-1 🤪🤪