Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,315
Bahiri wewe 😂😂500*4= ????
Bahiri wewe 😂😂500*4= ????
Nikiona hivi unaivuruga akili yangu kabisa 😂😂😂Mi mzungu chukua kabisa, mpeni mshamba_hachekwi ya supu tuView attachment 2636881
3M zote za niniMi mzungu chukua kabisa, moeni mshamba_hachekwi ya supu tuView attachment 2636881
Ujakosea na nauli ya uber3M zote za nini
4 cousin inauzwa elf 18 tu all mart 😂😂
Mwanangu mshamba_hachekwi akipata kaki la mihogo linamtosha.
figo76 carton ya savanna all mart ni elf 21
🤣🤣🤣Dr
Hicho kitumbua kimepotea njia hapo
Naomba nikichukue
Umeua😅😅😅3M zote za nini
4 cousin inauzwa elf 18 tu all mart 😂😂
Mwanangu mshamba_hachekwi akipata kaki la mihogo linamtosha.
figo76 carton ya savanna all mart ni elf 21
Hawajaona leo umekunywa grand malt ya 3000Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
Karipot kituoni fasta sitaki kuumiza akili😅🤣🤣🤣 nakukubali kamanda
Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statement 🤣 anaingia mitini
mshamba_hachekwi Mwana nimekupa mgao hapo ila Depal kasema utazima kwa hiyo anakutunzia. 😅Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimiHawajaona leo umekunywa grand malt ya 3000
Mtu mwenyewe mimi 😂😂😂we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimi
Atakuwa huyo mwanao hapowe waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimi
Hili ua jamani
Nenda twitter acha kunichoshaa naweeNimetoka kapa
Hahaha hatari sana mzee babaKaripot kituoni fasta sitaki kuumiza akili😅
Nikute ripot 😂😂Hahaha hatari sana mzee baba
Sawa ngoja niendNenda twitter acha kunichoshaa nawee
Happiest birthday to you!🎂View attachment 2636815mwamba huyu hapa mwenye ataki shida so much i love you najua upo hapa na unaona
Kupendwa raha nyie jaman hasa upate mwanaume anaejua kukupenda na anajua mwanamke anataka nini?
Njooni tukate keki pamoja