Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nakukubali kamanda

Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statement anaingia mitini
yaan niko winja winja huko hatareee, kuna jamaa km wa 3 washanijia DM wananiuliza "wee sio cocastic wa JF mbna writting inafanana" nawakanaa kweupeeee hata JF siijui ndo nn kwani. Uwiiiiiih

Dengee analo hili ana dharau sanaa yule mbwaaa. Khaaaah.
 
yaan niko winja winja huko hatareee, kuna jamaa km wa 3 washanijia DM wananiuliza "wee sio cocastic wa JF mbna writting inafanana" nawakanaa kweupeeee hata JF siijui ndo nn kwani. Uwiiiiiih

Dengee analo hili ana dharau sanaa yule mbwaaa. Khaaaah.
Utakuwa ndo wewe si bure 🤣🤣🤣

Hizi mambo za kujimwambafai mitandaoni sio nzuri ndo yaliyomwaibisha denge
 
Back
Top Bottom