cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
nakukubali kamanda
Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statementanaingia mitini






yaan niko winja winja huko hatareee, kuna jamaa km wa 3 washanijia DM wananiuliza "wee sio cocastic wa JF mbna writting inafanana" nawakanaa kweupeeee hata JF siijui ndo nn kwani. UwiiiiiihDengee analo hili ana dharau sanaa yule mbwaaa. Khaaaah.
