Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,315
Ahhaha wapeni jaman wanawakee zenu atakama hawajitumi vile mtakavyohongera sana binti😂 unasema kijana wako kakununulia keki wengine hata 500 hatutoi....
Ahhaha wapeni jaman wanawakee zenu atakama hawajitumi vile mtakavyohongera sana binti😂 unasema kijana wako kakununulia keki wengine hata 500 hatutoi....
#Halotel#Mjep nizawadie bando la mwezi 😂😂😂 ukikaa kimya ivyo sipendi
We mbona wako hajakupa mpaka bando la mwezi unaomba kwa majirani?Ahhaha wapeni jaman wanawakee zenu atakama hawajitumi vile mtakavyo
mwezi wa 6 ni pride month kwahiyo makampuni ya kimarekani lazima yaonyeshe inclusivity....Tulia mwanangu
We fanya kunitafsiria mstari wa kwanza 😂😂
Mm natumia voda nitumie pm pleas humu vibaka wengi jaman#Halotel#
mkuu tunawajali sana ila wengine tunategemewa na wadogo zetu pia, tunabanwa matumiziAhhaha wapeni jaman wanawakee zenu atakama hawajitumi vile mtakavyo
Namtengeneza kuwa futer kwahiyo anaombwa shida kubwa kubwa 😂😂We mbona wako hajakupa mpaka bando la mwezi unaomba kwa majirani?
Au huyo ndio mnunua keki?
Nyau zao 😂😂mwezi wa 6 ni pride month kwahiyo makampuni ya kimarekani lazima yaonyeshe inclusivity....
Kibaka na wewe dada 😂😂😂😂😂😂Mm natumia voda nitumie pm pleas humu vibaka wengi jaman
Hata sijalala tena 😵😵Usingizi mwema 😂
Mpende mpenzi wako jaman huyo ndio wa muhimu sana mdogo wako akikua atakuacha atakuwa bise na familia yake ila mpenzi wako atakuwa na wewe katia kila hatuamkuu tunawajali sana ila wengine tunategemewa na wadogo zetu pia, tunabanwa matumizi
All the best 😂😂Namtengeneza kuwa futer kwahiyo anaombwa shida kubwa kubwa 😂😂
Simchukui jaman huyo kaka yangu kwangu haramu 😂😂😂Kibaka na wewe dada 😂😂😂😂😂😂
sasa kuna kuwasomesha.... ujue ada ni ghali.... afu anakuja binti anataka pafyumu ya 70k, kweli??Mpende mpenzi wako jaman huyo ndio wa muhimu sana mdogo wako akikua atakuacha atakuwa bise na familia yake ila mpenzi wako atakuwa na wewe katia kila hatua
#voda#Mm natumia voda nitumie pm pleas humu vibaka wengi jaman
Thanks maana acha tu is good man kwakweli apendi kuongea ila mimi sasa na gubu sana 😂😂All the best 😂😂
mkiambiwa mtumie samsung mnajikuta pisi kali 😂Nyau zao 😂😂
Nateketeza GB hapa under updation.
Nasubiri imalize izimike ijiwashe, ole wake iwe imeongeza matapu tapu tu
Unamaliza cartoonNakunywaa
Ujataka kunipa wewe ishatumika#voda#