Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Naweka kwa friji nakunywa mdo mdo.Unamaliza cartoon
2 bottle per day 😂😂
Naweka kwa friji nakunywa mdo mdo.Unamaliza cartoon
sasa kuna kuwasomesha.... ujue ada ni ghali.... afu anakuja binti anataka pafyumu ya 70k, kweli??
ahsante banamkiambiwa mtumie samsung mnajikuta pisi kali 😂
Ahahah wew nimeona kwa mbaliMwachiluwi njoo uone kitumbua
Nidai mtoko wa leo mwanangu 😂 una akili sana, nadhani ni mambo ya marry j hayaWe mbona wako hajakupa mpaka bando la mwezi unaomba kwa majirani?
Au huyo ndio mnunua keki?
Na utimize 😂Nidai mtoko wa leo mwanangu 😂 una akili sana, nadhani ni mambo ya marry j haya
Nitakuita mama uje kumdai ahadi mpaka atimize 😂😂Na utimize 😂
acha dharau 500 sio bajeti ya milo miwili 😂Hizo ni nadharia tu. 😂
Kinywaji mujarabu sana halafu hapo nimepimiwa 🥃 nne 500. Bajeti yako ya asubuhi na mchana hapo skuli Kijana wetu 😆😆😆😆😆
Ni Depal amenifurahisha sana na hako ka ujumbe. 😂 Ila sio kesi niambieni mnaweza kuteketeza ngapi leoNa utimize 😂
Hahahah jaman my man wavitu vikubwa vikubwa kama sina futer na ww ndio ataomba hivo vocha ila nikiwa na malengo mh atakimbia huyo 😂😂Only four cousin wine inatosha😂
Yan figo76 hawezi kuja kusema muwahudumie ma babes wenu afu ye yuko nje anaomba vocha 😂😂
Ili ucheue dagaa uliokula mchana?Mimi savana sita
Na atatoa ole wake asitoe jaman tutamuita dume zembeeNitakuita mama uje kumdai ahadi mpaka atimize 😂😂
Aahaha umejuaje shoo na mlendaIli ucheue dagaa uliokula mchana?
500*4= ????acha dharau 500 sio bajeti ya milo miwili 😂
Mi mzungu chukua kabisa, mpeni mshamba_hachekwi ya supu tuNitakuita mama uje kumdai ahadi mpaka atimize 😂😂
🤣🤣🤣 nakukubali kamandaniko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.
Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.
Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.
pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii
![]()