Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Only four cousin wine inatosha😂


Yan figo76 hawezi kuja kusema muwahudumie ma babes wenu afu ye yuko nje anaomba vocha 😂😂
Hahahah jaman my man wavitu vikubwa vikubwa kama sina futer na ww ndio ataomba hivo vocha ila nikiwa na malengo mh atakimbia huyo 😂😂
 
niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.

Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.

Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.

pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii

🤣🤣🤣 nakukubali kamanda

Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statement 🤣 anaingia mitini
 
Back
Top Bottom