Ili ucheue dagaa uliokula mchana?Mimi savana sita
Na atatoa ole wake asitoe jaman tutamuita dume zembeeNitakuita mama uje kumdai ahadi mpaka atimize 😂😂
Aahaha umejuaje shoo na mlendaIli ucheue dagaa uliokula mchana?
500*4= ????acha dharau 500 sio bajeti ya milo miwili 😂
Mi mzungu chukua kabisa, mpeni mshamba_hachekwi ya supu tuNitakuita mama uje kumdai ahadi mpaka atimize 😂😂
🤣🤣🤣 nakukubali kamanda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.
Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.
Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bahiri wewe 😂😂500*4= ????
Nikiona hivi unaivuruga akili yangu kabisa 😂😂😂Mi mzungu chukua kabisa, mpeni mshamba_hachekwi ya supu tuView attachment 2636881
3M zote za niniMi mzungu chukua kabisa, moeni mshamba_hachekwi ya supu tuView attachment 2636881
Ujakosea na nauli ya uber3M zote za nini
4 cousin inauzwa elf 18 tu all mart 😂😂
Mwanangu mshamba_hachekwi akipata kaki la mihogo linamtosha.
figo76 carton ya savanna all mart ni elf 21
🤣🤣🤣Dr
Hicho kitumbua kimepotea njia hapo
Naomba nikichukue
Umeua😅😅😅3M zote za nini
4 cousin inauzwa elf 18 tu all mart 😂😂
Mwanangu mshamba_hachekwi akipata kaki la mihogo linamtosha.
figo76 carton ya savanna all mart ni elf 21
Hawajaona leo umekunywa grand malt ya 3000Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
Karipot kituoni fasta sitaki kuumiza akili😅🤣🤣🤣 nakukubali kamanda
Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statement 🤣 anaingia mitini
mshamba_hachekwi Mwana nimekupa mgao hapo ila Depal kasema utazima kwa hiyo anakutunzia. 😅Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimiHawajaona leo umekunywa grand malt ya 3000
Mtu mwenyewe mimi 😂😂😂we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimi