Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Mbanga wako ndio hali bila we?we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimi
Mbanga wako ndio hali bila we?we waache hao mambanga😂 hawajui mi ni sponsor kuna mtu hali bila mimi
Anapendeka kirahisi sana huyu mBebé jamani!☺️🤩Mack Air kama Mackbook 😍
Mtoto yuko msoft huyooo
Hahaa wewe hunidanganyi kitu jimwambafai uoneBado sna kunijua z
Ahhahha mnanionea kisa last bornKashughuli kako kadogo usitusumbue Peterrabbit atamaliza kila kitu 🤣🤣🤣
Siwezg izo mamboHahaa wewe hunidanganyi kitu jimwambafai uone
Aahahahaa ila najua mimi na wewe hatugomban utanitajia zote nitakufollowIngiaa nna I'd 2 kulee.![]()
Hahaha coca mpana sana weweWee Denge alizidi mnooo, kuna siku tulibishanaa sanaa twitter kuhusu suala fulanii hivi, nilimuambia ukwelii kuwa iko sikuu utakaangwaa wee na hutaamini.
Jana Mfalme herodee kampa mapigo makaliii
![]()
Bahiri wewe 😂😂
Tatizo lenu malast born mnadeka sana tunataka tukukomaze mtoto wa mama wewe 😀Ahhahha mnanionea kisa last born
Haya mzee wa wavuvi kemp nimeuona uzi wako 😅😅Siwezg izo mambo
Mimi napiga chuma ujueTatizo lenu malast born mnadeka sana tunataka tukukomaze mtoto wa mama wewe 😀
Acha ubwegeee wewe 😂😂Haya mzee wa wavuvi kemp nimeuona uzi wako 😅😅
Tukaribishane kidogo 😂😂Hiyo ni Alkasusu mujarabu tu. Bei ya bia hiyo ujue 🤣🤣🤣🤣
Sio kwa ile bless ya kamkono ulichopost siku ile 🤔🤭Mimi napiga chuma ujue
😂😂😂😂 siku nikilewa nitakupa id yangu ya instaSio kwa ile bless ya kamkono ulichopost siku ile 🤔🤭
Kile kiwanja cha wenye hela zao kama ulivyoeleza mule kwa uzi 😅Acha ubwegeee wewe 😂😂
Ahahahaha kwahiyo unataka kusemaje sina pesa?Kile kiwanja cha wenye hela zao kama ulivyoeleza mule kwa uzi 😅
Usije ukanipa ya mtu mwingine tu 🤔😂😂😂😂 siku nikilewa nitakupa id yangu ya insta
Pesa unazo ndo maana kwako wavuvi kitu cha kawaida sana 😊Ahahahaha kwahiyo unataka kusemaje sina pesa?
Sina pesa mimi fukaraPesa unazo ndo maana kwako wavuvi kitu cha kawaida sana 😊