cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Pumbavu zako😅😅😀😀😀Si ungemuonesha kidogo na wew
Ndio ulikua na Aaliyyah hapo leo mkuu! Mkitazama gemuMpo wapi? Yanga akifungwa leoView attachment 2630083
Hongera kipenzi 😍😍😍unajua nikiwa uraiani mtu haamini km mie niko ktk taaluma ya mitamboo.
Sina life hilo kabisaaa, kuna siku tulienda ofisi Fulani na rafiki angu, kufika kule si nkamkuta jamaa ambaye siku ya graduu yangu ya 4m 6, akikuwepo yeye alikuja kwa ndugu yake.
Si akaanza kunihoji kuna watu walikaa pembeni acha washangae, kuna mdada pale pale alinipa 30k km pongeziii.![]()
😂🚶🚶🚶Pumbavu zako😅😅
Sasa wa team ipi? KMC?Kweli dear , nimekuambia nilivyokutana naye , unahisi huyo wa Azam naweza kutana nae dukani tena buku Bunju.



Nitakuja nae,Aaliyyah ukija Dar kwenye garaduation twende wote.Uje kwa graduu November, uonione ndani ya Joho.![]()
heheehe utamhisi kila mtu ..Sasa wa team ipi? KMC?
Mbna palee hakuna waghana.
Au Morisson wee
Hahaha mambo yakwenda ugenini hayo.Nikija kumsalimia mzungu
Itabidi niwe naanzia kwa mama ntilie,
then ndo malizia cha hapo home.
Otherwise naweza gonga pot
nzima
nikakosa vigezo
Nitaselfika lkn kesho sato mapema kbisaUnataka apofuke macho.
Kwanza selfika Sasa hivi.
My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyakoYani ningecheza amapiano
![]()





nimechekaaaa mnoo, shangazi acha uongoooshangazi.. nina zalisha maziwaa hadi upite miezi sita ndio nifumani goli unajua surgery 😅😅😅.... kuku wa soup ya karangaaa ni mnono alafu anaongezaa vituuUmeona eeehhh!! Mambo yanakua muruaaaaa kabesaaa!!
Ukapige masters pale Coventry Uk .Ahsanteee sweet pie![]()