Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe na Makiwendo mnapenda kuwaangalia wanaume eneo la mjegeja. Inaonyesha asubuhi eneo unaloishi wanaume wakienda bafuni unakuwa makini Sana kuwathamimnisha mihogo kwenye suruali. Maana huo muda damu inaenda kwa wingi sana eneo la mjegeja.
Sio asubuhi, mwenzio hata chuoni, kazi yangu ni kutazama wanaume eneo LA zipuu tyuuh.
. Mbna ntakufaa macho yana wadudu mweeeeeeh.
 
wangu umemuonaaa?? Tena mpyaaaaa, natamani km ndo niwe naanza chuo leo.
Wakaka wa UD degree na masters ni nyokoooooo
. Itanifanya niunge juu kwa juu. Woiiiiiih
Unawachungulia hao wakaka ukiwa umekalia wapi?? Unamaliza lini engineer wetu kuna Maua yako hapa
 
hutaki kulea mariooos wee??
Heheheeeh mbna hatareeeee
😀😀Mwenzangu Bora anipe Hela za vitunguu Hao wenyew utamsikia had boom sijui alafu vizungu vingi no thank you za kutosha niache aunt😂😂😂
 
Team ni Azam.
Ngoja nitafute captain wao.
😂😂😂😂
@Antonnia
Screenshot_2023_0521_210553.png
 
Sio asubuhi, mwenzio hata chuoni, kazi yangu ni kutazama wanaume eneo LA zipuu tyuuh.
. Mbna ntakufaa macho yana wadudu mweeeeeeh.
Unapenda mijegeja.

Niliwahi kuselfika hapa,ukazoom suruali na kuniambia mzee baba mbona Kama kidogodogo Sana. Nikaishia kucheka tu.
 
Back
Top Bottom