Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unawachungulia hao wakaka ukiwa umekalia wapi?? Unamaliza lini engineer wetu kuna Maua yako hapa
Julai zisi yia, yaani niko fainalisti, semesta ya mwisho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3]Mwenzangu Bora anipe Hela za vitunguu Hao wenyew utamsikia had boom sijui alafu vizungu vingi no thank you za kutosha niache aunt[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aunt nimekumbukaa kituu, ila bas tyuuh, haya mapenzi sometimes ni hisia jamani woiiiiiih
 
Team ni Azam.
Ngoja nitafute captain wao.
😂😂😂😂
@Antonnia
Screenshot_2023_0521_210553.png
 
Sio asubuhi, mwenzio hata chuoni, kazi yangu ni kutazama wanaume eneo LA zipuu tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mbna ntakufaa macho yana wadudu mweeeeeeh.
Unapenda mijegeja.

Niliwahi kuselfika hapa,ukazoom suruali na kuniambia mzee baba mbona Kama kidogodogo Sana. Nikaishia kucheka tu.
 
Kumbe auntyangu ni engineer mbona hamkunambia hongera mm nilitaka kusoma hiyo ila nikafeli fom foo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aunt huna habari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna nilishawahi post picha nikiwa sites na zile kaoshi zetuuu. Muulize shouuzz akee.

Usione najichetua hapaaaa, tunahangaika na mitamboo nje ya JF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unapenda mijegeja.

Niliwahi kuselfika hapa,ukazoom suruali na kuniambia mzee baba mbona Kama kidogodogo Sana. Nikaishia kucheka tu.
Napenda sana mijegejoo, hiyo kitu ni tamuuu balaaaaah. Ni tibaaa pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aunt huna habari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna nilishawahi post picha nikiwa sites na zile kaoshi zetuuu. Muulize shouuzz akee.

Usione najichetua hapaaaa, tunahangaika na mitamboo nje ya JF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera auntyangu lazima upasue wew kichwa wagoni hawana masikhara
 
Back
Top Bottom