sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyakoYani ningecheza amapiano
![]()



My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyakoYani ningecheza amapiano
![]()



😂🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaaaa mnoo, shangazi acha uongooo
Huyu kuku ni kienyeji au broiler?shangazi.. nina zalisha maziwaa hadi upite miezi sita ndio nifumani goli unajua surgery.... kuku wa soup ya karangaaa ni mnono alafu anaongezaa vituuView attachment 2630553





Tatizo lako ukiselfika hunitag. Nina muda sijakuona.Nitaselfika lkn kesho sato mapema kbisa
Nataka MIT mie hela ikiruhusuu, nitafutie sponsors.Ukapige masters pale Coventry Uk .





Ndiwooooo mkujeeee jomoneeeeeeHakika twende tukamkabidhi mauwa yake mwanafunzi wetu WA selfika





Kabisa mkuu.Hakika twende tukamkabidhi mauwa yake mwanafunzi wetu WA selfika
broiller wa nini mie 😅😅 nakula vya kienyeji tu.. pure kienyeji nameza hata mifupa.. hapa badae napiga matunda mixer nazi na mihogo naunda mabao tuub😅😅😅Huyu kuku ni kienyeji au broiler?![]()
sumbai unafeli wapi mzee? Mpaka unamuacha Aaliyah anaangalia soka peke ake aisee?My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyako 😂😂😂😂Yani ningecheza amapiano 😂😂😂😂
Nakosajee sasa kuwaalikaa, ratiba itawekwa wazi hapa mapemaa kila mtu mwenye nafasi ahudhurie.
Kumekuchaaaaaabroiller wa nini mienakula vya kienyeji tu.. pure kienyeji nameza hata mifupa.. hapa badae napiga matunda mixer nazi na mihogo naunda mabao tuub
![]()







Huchezi chandimu wakishua?hizi sasa dharau 😂
Yale pia... Au London school of economics.Nataka MIT mie hela ikiruhusuu, nitafutie sponsors.![]()
Nitoe ushamba MIT ni nini ??Nataka MIT mie hela ikiruhusuu, nitafutie sponsors.![]()
Mzeee mwili unajengwa na mambo Kama hayobroiller wa nini mienakula vya kienyeji tu.. pure kienyeji nameza hata mifupa.. hapa badae napiga matunda mixer nazi na mihogo naunda mabao tuub
![]()
Unajua kucheza amapiano?My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyako 😂😂😂😂Yani ningecheza amapiano 😂😂😂😂
Tumekusema wapi 😂