Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu kuku ni kienyeji au broiler? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
broiller wa nini mie 😅😅 nakula vya kienyeji tu.. pure kienyeji nameza hata mifupa.. hapa badae napiga matunda mixer nazi na mihogo naunda mabao tuub😅😅😅
 
My dear unajua nilivo alone juzi nimeumwa nusu kufa pekeyangu chumbani ningepata wa kuangalia nae game hivo si ningenenepa nduguyako 😂😂😂😂Yani ningecheza amapiano 😂😂😂😂
sumbai unafeli wapi mzee? Mpaka unamuacha Aaliyah anaangalia soka peke ake aisee?

Pole Sana hope unaendelea vizuri mtoto mzuri.
 
Muongo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu aunt siku mtaniacha nakufa mkajua utani 😂🤣🤣🤣
Dawahizo zingine nimemaliza nimekunywa dawa kama sio mm muoga chezea kufa wew😂😂
Umeme ukakatika saa nane na homa Kali nililia balaa 😂😂😂😂Nyie
Sijaenda job wiki nzima hii Aunt
 
Back
Top Bottom