Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lol hongera shougaaangu.... Wapii zao sasaaa au unaogopa mafile ???
Mafile ya nn mie?
Niogopee?? sijaona kiumbe wa kunitikisa JF hasa kupitia files uchwaraaa, hayo mafile nitawapa mie mwenyewee wakayaweke waziii.

Kuna kiumbee yuko humu anajifanya ana details zangu, kazi yake kwenda kwa members anaona nazoeana nao kuwauliza km wananijua kwa undani. Afu member wa kiume nilishamkanyaa haelewiii.

Namuachaa tyuuh, siku nitakapoamua nitamuwashia humu humu ndani.
 
Mafile ya nn mie?
Niogopee?? sijaona kiumbe wa kunitikisa JF hasa kupitia files uchwaraaa, hayo mafile nitawapa mie mwenyewee wakayaweke waziii.

Kuna kiumbee yuko humu anajifanya ana details zangu, kazi yake kwenda kwa members anaona nazoeana nao kuwauliza km wananijua kwa undani. Afu member wa kiume nilishamkanyaa haelewiii.

Namuachaa tyuuh, siku nitakapoamua nitamuwashia humu humu ndani.
😂😂😂😁😁😁😁! Utakua umemshika pabaya shougaaanguuu weee mbaaaayaaaaaaaaaaa😂😊!
 
utachundaa huu mwakaa, huna handsome hata wa dawa, sasa unaishi ili iwejee?? Changamka weweeeeeeee
Kwakweli niuawe tu 😂😂😂 Sina maana dah aunt una mahandsome kumi mm hata mmoja 😂😂
 
Back
Top Bottom