Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alafu aunt siku mtaniacha nakufa mkajua utani 😂🤣🤣🤣
Dawahizo zingine nimemaliza nimekunywa dawa kama sio mm muoga chezea kufa wew😂😂
Umeme ukakatika saa nane na homa Kali nililia balaa 😂😂😂😂Nyie
Sijaenda job wiki nzima hii Aunt
pole sweetie
get well soon
 
Alafu aunt siku mtaniacha nakufa mkajua utani
Dawahizo zingine nimemaliza nimekunywa dawa kama sio mm muoga chezea kufa wew
Umeme ukakatika saa nane na homa Kali nililia balaa Nyie
Sijaenda job wiki nzima hii Aunt
Duuh poleee shangaziiiii, sasa ndo uliee?
Nikiumwaa siwezi kulala pekee angu, siweziii hataaa.
 
Watu wangehaha mbona engineer wa mchongo 😀😀 ni mwendo maporomoko tu na nyufa 😂😂na nilivo mbishi Sasa

Mjep kwani auntyangu kapata penz jipya nn ndo kafungiwa hatak hta kutupa hi
Shikamoo aunt
Nimekumiss hadi naumwaa

Usisahau kuselfika tuzione zile lips za dhahabu
 
Nikija kumsalimia mzungu
Itabidi niwe naanzia kwa mama ntilie,

then ndo malizia cha hapo home.

Otherwise naweza gonga pot
nzima

nikakosa vigezo
😆😆😆😆😆

Imagine ukimkosa mzungu kisa tu umesafisha hotpot wakati wenyeji hatujala....🫣🫣
20220517_150255.jpg
 
Back
Top Bottom