Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sijamaliza bado iyo ni karot oho na tango tango nimemenya so bado ikikamilika nakuita😂😂
Kwahiyo umeacha kukata ukaja kuchat?
Me leo sijisikii kusogelea jiko.
Nitakula walivyopika wengine.
 
Unapanga kuondoka unaambiwa classmate wako leo wanakuja kukutembelea ni zamu yako hawajui wengine sisi mabachela

Dr Lizzy bado nachukua ujuzi kutoka kwako hapo unanipa asilimia ngapi Mjep pita ukule leo siku ya wageni tu Gily kaaamua kunikomoa analeta classmate kumi leo
mwanangu una ujuzi wa kukata perfect 😀
 
[emoji1702]
Screenshot_20230521-131540.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee
kuna watu wanajua ngeli hadi raha 😂😂😂.
sio mie mpaka niload weh .

kuna siku nimekutana na footballer mghana nikasema haya ni mambo yako kabisa ..
jamaa is sweet basi tu nilizingua 😂😂😂
 
kuna watu wanajua ngeli hadi raha [emoji23][emoji23][emoji23].
sio mie mpaka niload weh .

kuna siku nimekutana na footballer mghana nikasema haya ni mambo yako kabisa ..
jamaa is sweet basi tu nilizingua [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukumpiga picha nawee?? Jomonee kuna mikaka mizuri wee acha tyuuh.
 
Back
Top Bottom