National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Bado , nipo Pwani hapaMm wakiume
Ww je vp umeolewa na upo wapi
Bado , nipo Pwani hapa
😅😅😅 mtraaamu baraaaa aunt.. kesho ntakutumia kilogram kadhaaa.... na wewe ufurahi..Awwwww mjomba umenitamanishajeeee hapaa 😋😋😋😋😋
Supu fresh kabessa hio mjomba enjoyyy!!!
Hahahaaa watu hawarembi hata utoajer jicho wanakula ivoivoo 😂😂!!
You serious ????Waooo nafurahi kusikia hvyo mwaka huu hauishi nakuoa nilikuwa na ndoto ya kuwa na mwanamke mrembo kama ww
Yani anaonekana tyuu mtramu kinoumaaa!!😅😅😅 mtraaamu baraaaa aunt.. kesho ntakutumia kilogram kadhaaa.... na wewe ufurahi..
😅😅😅😅 kinacho ogopwa sumuu tuuu vingine haviogopwi.. goja niku bless kimtindo
You serious ????
sina urembo mie![]()
Ukimuona Mamaa la mama mwambie namsalimia sana nimemmiso hadi naumwaaaBantu Lady heri ya jumapili, Neema na Baraka ya Bwana ,iwe nawe....Amen
Dea kwa mambo ya urembo sikuweziiii,





Hahaa umeniona wapiYah
Ww Ni mrembo bana umeumbika kuanzia unyayoni mpka kichwani kila mwanaume anataman kuwa na malkia mrembo kama ww nataka nikuweke ndani mapema
njoo home nikufundishe mambo ya urembo bure tuDea kwa mambo ya urembo sikuweziiii,
Umejaliwa aseeh na unawezaaa,![]()
Mjomba nasubiria blessings zako hapaanjoo home nikufundishe mambo ya urembo bure tu
Hahaa umeniona wapi
binafsi nipo kawaida sana , demu mmoja mshamba , sina hili wa lile .
nilivyo rough sina urembo kabisa
Demu mshamba ndio wazuri, hawasumbuiHahaa umeniona wapi
binafsi nipo kawaida sana , demu mmoja mshamba , sina hili wa lile .
nilivyo rough sina urembo kabisa
kitanda kipiIla mtundu kitandani
hahaha eti eehDemu mshamba ndio wazuri, hawasumbui
kitanda kipi
sina nalojua huko![]()