Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo nisamehe sana kulingana na miiko na mwongozo wa kazi yangu kuna watu wanajua hadi nywele zangu tuendelee kuchati tuu! Hapa pako poa sana

Sent from my TECNO BD2 using JamiiForums mobile app
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au?
 
Muwe na asubuhi njemaaa wapendwaaaaa!✌️
 

Attachments

  • Screenshot_20230521-103345~2.jpg
    Screenshot_20230521-103345~2.jpg
    36.9 KB · Views: 7
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 !

Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"

Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaa👋🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
!

Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"

Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaa
sasa shouzzz mie tena nisijuee hilo? Selfika tangu lin ikawa na Ingizo jipyaa?

Mie nlikua namjokee tyuuh, kwanza selfika ilivyo vamiwa sahivi haina hata mwendo yaan

 
Tuone picha
sasa mbona umechangamka hivyo .

nakumbuka nilivyokuwa mgeni hadi kuandika nilikuwa siwezi hadi nifikirie mara mbili

Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
 
Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
Heheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .

kodi alipe mwingine aje alale mwingine no 😂😂😂😂

nina aibu sana eeh
 
Back
Top Bottom