Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,313
Amesema Atubless badae uzuri auntie hanaga mbambambaa kabisa najua atatupia!Eeeh ndiwoooooo!!!!
Amesema Atubless badae uzuri auntie hanaga mbambambaa kabisa najua atatupia!Eeeh ndiwoooooo!!!!
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.Hapo nisamehe sana kulingana na miiko na mwongozo wa kazi yangu kuna watu wanajua hadi nywele zangu tuendelee kuchati tuu! Hapa pako poa sana
Sent from my TECNO BD2 using JamiiForums mobile app







mmmh mbona wafanana kaka yangu Putin
Binaa wee nawee, hayaa tulia kwanzaa
Nipoo nasubirii.![]()
Heheeee nimecheka wallahi 😂😂😂😂Sweet pie wee wa kunifungia vioo mie? Nakuona uko winja winja na wegine hapa jamvini.
Hivi ni umepata babee mpyaa anaitwa pretatahit,
Fanya huu mwaka harusi tuwe nayoo.
Kabisaa atatupiaaaa baadae.Amesema Atubless badae uzuri auntie hanaga mbambambaa kabisa najua atatupia!



🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 !Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.
Ko umekuja kutuchoraa au?![]()
Speed gan tena mzee wa kaz just ku show love kwa watu tuu maisha ndo haya hayaUna speed kaka
Huku tuko poaa sanaa, sijui wee.Heheeee nimecheka wallahi![]()
anaitwa Peterrabbit aiseeee
nisamehe dear , tupo pamoja sana tu .
Hamjambo huko ???
Tuone pichaHapana bana mm siyo huyo
Nooo sorry kama hujapendaHata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.
Ko umekuja kutuchoraa au?![]()
!
Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"
Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaa![]()




sasa shouzzz mie tena nisijuee hilo? Selfika tangu lin ikawa na Ingizo jipyaa?






Tuone picha
sasa mbona umechangamka hivyo.
nakumbuka nilivyokuwa mgeni hadi kuandika nilikuwa siwezi hadi nifikirie mara mbili



wachaaa wee.Salama tu hukuHuku tuko poaa sanaa, sijui wee.
Fanya huu mwaka niwe MC, na venye wote mnajua ngelii honeymoon ikawe London.
Heheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
Bora aiseeHeheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .
kodi alipe mwingine aje alale mwingine no
nina aibu sana eeh