Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 !

Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"

Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaa👋🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] !

Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"

Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaa[emoji112][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa shouzzz mie tena nisijuee hilo? Selfika tangu lin ikawa na Ingizo jipyaa?

Mie nlikua namjokee tyuuh, kwanza selfika ilivyo vamiwa sahivi haina hata mwendo yaan

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuone picha
sasa mbona umechangamka hivyo [emoji23][emoji23][emoji23] .

nakumbuka nilivyokuwa mgeni hadi kuandika nilikuwa siwezi hadi nifikirie mara mbili

Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
 
Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
Heheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .

kodi alipe mwingine aje alale mwingine no 😂😂😂😂

nina aibu sana eeh
 
Screenshot_20230521_120128_WhatsApp.jpg
 
Heheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .

kodi alipe mwingine aje alale mwingine no [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nina aibu sana eeh

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Unapanga kuondoka unaambiwa classmate wako leo wanakuja kukutembelea ni zamu yako hawajui wengine sisi mabachela

Dr Lizzy bado nachukua ujuzi kutoka kwako hapo unanipa asilimia ngapi Mjep pita ukule leo siku ya wageni tu Gily kaaamua kunikomoa analeta classmate kumi leo
 

Attachments

  • 9B824D38-10BC-4BE6-85EF-133B407CABAC.jpeg
    9B824D38-10BC-4BE6-85EF-133B407CABAC.jpeg
    977.7 KB · Views: 8
Salama tu huku

mie sijui kingereza sana , najua kidunchu sana kwa kuandika labda kuongea [emoji23][emoji23] .

aisee na kungwi pia chezeya [emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee
 
Back
Top Bottom