Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari sweet pie
Sweet pie wee wa kunifungia vioo mie? Nakuona uko winja winja na wegine hapa jamvini.

Hivi ni umepata babee mpyaa anaitwa pretatahit, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya huu mwaka harusi tuwe nayoo.
 
Bina umeanza makeke[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Tulia kwanza nitue mizigo ndio kwanza nimeingia ndani hata sijanywa maji kha![emoji2]
Binaa wee nawee, hayaa tulia kwanzaa
Nipoo nasubirii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo nisamehe sana kulingana na miiko na mwongozo wa kazi yangu kuna watu wanajua hadi nywele zangu tuendelee kuchati tuu! Hapa pako poa sana

Sent from my TECNO BD2 using JamiiForums mobile app
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muwe na asubuhi njemaaa wapendwaaaaa!✌️
 

Attachments

  • Screenshot_20230521-103345~2.jpg
    Screenshot_20230521-103345~2.jpg
    36.9 KB · Views: 9
Sweet pie wee wa kunifungia vioo mie? Nakuona uko winja winja na wegine hapa jamvini.

Hivi ni umepata babee mpyaa anaitwa pretatahit, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya huu mwaka harusi tuwe nayoo.
Heheeee nimecheka wallahi 😂😂😂😂
anaitwa Peterrabbit aiseeee

nisamehe dear , tupo pamoja sana tu .

Hamjambo huko ???
 
Back
Top Bottom