Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms 😂😂 .

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa 😂😂😂
 
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms [emoji23][emoji23] .

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
Ah Alikuwa ana haraka sana yule 😂😂
siku ya pili tu ananita wife hehehe anataka niende Ghana .

basi siku moja twapiga stori namwambia nyie wacheza mpira hamkai na familia , anaona poa na kubisha jukukumu la kulea watoto ni la mama tu .
 
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke [emoji23][emoji23]

Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane [emoji23][emoji23][emoji23] .

alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia [emoji23][emoji23]

so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
Wewe sio "mdada wa mjini".
 
Back
Top Bottom