Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

dear nimechekaa mnooooo.
Kwann lakini.
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke 😂😂

Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane 😂😂😂 .

alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia 😂😂

so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
 
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke

Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane .

alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia

so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
 
dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms 😂😂 .

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa 😂😂😂
 
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms .

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa
dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
 
dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
Ah Alikuwa ana haraka sana yule 😂😂
siku ya pili tu ananita wife hehehe anataka niende Ghana .

basi siku moja twapiga stori namwambia nyie wacheza mpira hamkai na familia , anaona poa na kubisha jukukumu la kulea watoto ni la mama tu .
 
Back
Top Bottom