cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Umeniona wapii wee,![]()
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke 😂😂dear nimechekaa mnooooo.
Kwann lakini.
Njoo wee![]()
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke![]()
Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane.
alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia![]()
so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar




dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.Nshafungua.Fungua pm basi nije mtoto mzur
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms 😂😂 .dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
Dogo upooo???Kwema wakuu.
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms.
hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .
mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa![]()



dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??nzuri na weweKwema wakuu.
Nshafungua.
NnIla utatoa lkn
USM ALGER chukua chombo hicho she's very humble about her beauty like queen Esther a cousin of MordecaiHahaa umeniona wapi
binafsi nipo kawaida sana , demu mmoja mshamba , sina hili wa lile .
nilivyo rough sina urembo kabisa
Ah Alikuwa ana haraka sana yule 😂😂dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
USM ALGER chukua chombo hicho she's very humble about her beauty like Esther a cousin of Mordecai







hawez show za wakubwa huyo amesema anaona aibu