Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

jana usiku kaja PM mtu na heshima zake, ndo anaanza kuniambia hayooo maraa ooh niwe makini ntapata ukimwi na magonjwa ya zinaa,.

Nabaki kushaangaaa wanaume gan wa JF ambao mie nadate nao, jibu sipatii, mara tume inaundwaaaa kwa ajiri yanguu. Khaaah

Nasema waje na vyeti halali vya ndoa, sita deal na michepuko mie.

Watu wanakopwaaaa mbususu na ahadi za kujengewa, mara iphone13 ,wengine had wanapigwa mtungo, hasiraa wanaletaa kwangu, mie ndo nawatumaga?

Wanitueeee kabisaaa, ndo nasubiriiii hapaaa wakujeeeeeee. Km wao ni makahabaa wazoefu, mie ni malayaa niliye kubuhuuuu. Na ntawajuza km kachumbali ni mbogaa au kiungo cha wali, na watafahamu km penalty ni mpira wa adhabu au dharuraaa, mxxxxieeeeeeeeew

Wanipumzisheeee kwan khaaaaaah,

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nacheka hapa
Unalo mdogo wangu
 
kuhusu kuundiwa tume, kuna jamaa siku hyo akasema kiutan ktk uzi fulan hv, mie malayaa naiba mabwana wa watu, nkapotezeaa nkahis utan, mara ya pili mtu mwingne tena ktk uzi akasemajee wee una dawa kila mtu unae mfataa anakukubalia na kukuhongaa pesa ndefu, nkahis utan pia, ya 3 mdada akanifata pm kuniambia hvyo tena na kuhusu tume kuundwan

Kubwa Jan usiku ID ya heshima ikanifataa na kunieleza niache umalayaa ntapata ukimwi, na magonjwa ya zinaa, aananitetea kwaa kua mie bado mdogo, ndo akanambia na tume inaundwaaa kunishambulia

Ni tafrani tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Nakuja pm
 
R.I.P Legend
Screenshot_20221230_030550_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom