Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

!
Sio shida zako hizoo shosss wapambane na mabwana zaoo hukoo! Wajua mie nivokua wamwisho kupata habari humu Sinaga aa wala bee naanzaje kukunafkia kipenzi uwiiii!!
Wenyewe wanapangwa wakapangika ka sie tunavopangwa tyu watruuukooomeeeee!!

Halafu mapenzi kama siti za basii tyu akishuka huyu mwingine anakaa nini makasiriko sasa watruuuu na nyota zenyuuuu!!
Utakua umewazidi ketreeee shougaanguuu huyo mganga wako usimuacheeeee!!

Nakazia hapo 'Wenye vyeti vyao halali vya ndoa ndio wabwekeee na si chapwa ilaleeer watulize mishono ka mie tyu hapaa!! mmxxcieeewww

Wakweendrreeeeeeeeee!
jana usiku kaja PM mtu na heshima zake, ndo anaanza kuniambia hayooo maraa ooh niwe makini ntapata ukimwi na magonjwa ya zinaa,.

Nabaki kushaangaaa wanaume gan wa JF ambao mie nadate nao, jibu sipatii, mara tume inaundwaaaa kwa ajiri yanguu. Khaaah

Nasema waje na vyeti halali vya ndoa, sita deal na michepuko mie.

Watu wanakopwaaaa mbususu na ahadi za kujengewa, mara iphone13 ,wengine had wanapigwa mtungo, hasiraa wanaletaa kwangu, mie ndo nawatumaga?

Wanitueeee kabisaaa, ndo nasubiriiii hapaaa wakujeeeeeee. Km wao ni makahabaa wazoefu, mie ni malayaa niliye kubuhuuuu. Na ntawajuza km kachumbali ni mbogaa au kiungo cha wali, na watafahamu km penalty ni mpira wa adhabu au dharuraaa, mxxxxieeeeeeeeew

Wanipumzisheeee kwan khaaaaaah,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank you kipenzi..
Kuna wanaume ni waelewa hadi raha nakwambia!!
Hawanaga mbambambaa maswali wala maelezooo mengi wala neneeeee !!
I'm happy for him and blessed to have him dear Mungu ambariki kila kitu chake kazini nyumbani barabarani uzao wake nahata vitukuu na vijukuu vyake mamyy!! He's one in a million!!!
Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii watu na watu wao,
Kikinukaaaaaa hatutaki kelele na vilioooooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jana usiku kaja PM mtu na heshima zake, ndo anaanza kuniambia hayooo maraa ooh niwe makini ntapata ukimwi na magonjwa ya zinaa,.

Nabaki kushaangaaa wanaume gan wa JF ambao mie nadate nao, jibu sipatii, mara tume inaundwaaaa kwa ajiri yanguu. Khaaah


Wanitueeee kabisaaa, ndo nasubiriiii hapaaa wakujeeeeeee. Km wao ni makahabaa wazoefu, mie ni malayaa niliye kubuhuuuu. Na ntawajuza km kachumbali ni mbogaa au kiungo cha wali, na watafahamu km penalty ni mpira wa adhabu au dharuraaa, mxxxxieeeeeeeeew

Wanipumzisheeee kwan khaaaaaah,

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wajipangee haswaaa waoo nahizo team zaoo mbona utawacharuaa mmoja baada ya mwingine hawajui coca ni jeshi la mtu mmoja!!
Kwanza umeiba bwana wanani kwanzzaa mi Naona kila Mtu na mtuwe hukoo makwao humu! Mbona watu wana hekaheka!!

Wakuwachee kwakweli!!
 
Chukuaa hii ya chini kabisaaa, utanougajeeeee dear,
Utawakaaaa sanaaaa shougaaaaaa akeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol sawaa ! Hio ni mbato lina mpasuooo mmoja usawa wa mbele ya aa mrefuuu sana hadi kwenye pajaaa!
Hilo la kati chini mshazari chini umeemwagaa sana .. hilo la juu chii ni olo isiyoachia
 
Back
Top Bottom