Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thubutu,jaribu uone

Halafu nawe una nini mbona unazongwa sana???

Yaani ni wewe unawafuata mabwana wa watu Pm???

Aisee humu ni kwa motoooo
dyadyaaa mwenzio had sometimes nachokaaa.
Eti mie najitongozesha kwa mabwana wa watu PM, maskiniii hao wenyewee wanao tajwaaa hata sijawahi kuongea nao chochote, nabaki kujiuliza au kuna mtuu ndo anasumbua watu afu anajifanya mie kwa ID ingnee.

Kheeeeh hata sielew,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dyadyaaa mwenzio had sometimes nachokaaa.
Eti mie najitongozesha kwa mabwana wa watu PM, maskiniii hao wenyewee wanao tajwaaa hata sijawahi kuongea nao chochote, nabaki kujiuliza au kuna mtuu ndo anasumbua watu afu anajifanya mie kwa ID ingnee.

Kheeeeh hata sielew,

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wenye mabwana wamekufuata au mabwana wenyewe???

Wapotezeee wasikuchoshe,
 
Huyu mbna anatambulikaaaaa, kuwa ni wangu ila aliniachaa Golden Tulip Zanzibar, had pesa ikakata nikaombaa msaadaa kwa manager nirud Dar

Mara namgandaaa yeye hanitakiii, mie namgandaaa na nmemfilisi pesaa zakee.

Mjep mume wanguuu ukujeeee hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamfilisi jamani ndiyo maana vocha hatupii,jamani dhambi na alivyompole si unampeleka mswebemswebe mtoto wa mama mkwe wako
 
Looooh kumbe,

Pm au kwenye uzi?
kuhusu kuundiwa tume, kuna jamaa siku hyo akasema kiutan ktk uzi fulan hv, mie malayaa naiba mabwana wa watu, nkapotezeaa nkahis utan, mara ya pili mtu mwingne tena ktk uzi akasemajee wee una dawa kila mtu unae mfataa anakukubalia na kukuhongaa pesa ndefu, nkahis utan pia, ya 3 mdada akanifata pm kuniambia hvyo tena na kuhusu tume kuundwan

Kubwa Jan usiku ID ya heshima ikanifataa na kunieleza niache umalayaa ntapata ukimwi, na magonjwa ya zinaa, aananitetea kwaa kua mie bado mdogo, ndo akanambia na tume inaundwaaa kunishambulia

Ni tafrani tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom