Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Helloowww babuu!! ✋!!
Ndio waelekea shamba Na hivo vikoti vya wavuvi sijui waokozi wa majini sijui matrafki/ wajenga barabara kwelii shamba na gari babuu??!
Msamiliieee sanaaaa bibietu mpendwa! Mwambie nilitingwa kidogo ila next week ntakua hapoo nimalizie masalia ya Sikukuu!

Kilimo chema babuu!✌️✌️
Hivyo vikoti huwa tunavaa tukiwa shambani Mjukuu 🙈

Kwasasa naelekea shambani Mjukuu, si unajua Mama ametoa Ruzuku kwenye mbolea. Ndiyo nawahi hivyo shamba🤪
 
jana usiku kaja PM mtu na heshima zake, ndo anaanza kuniambia hayooo maraa ooh niwe makini ntapata ukimwi na magonjwa ya zinaa,.

Nabaki kushaangaaa wanaume gan wa JF ambao mie nadate nao, jibu sipatii, mara tume inaundwaaaa kwa ajiri yanguu. Khaaah

Nasema waje na vyeti halali vya ndoa, sita deal na michepuko mie.

Watu wanakopwaaaa mbususu na ahadi za kujengewa, mara iphone13 ,wengine had wanapigwa mtungo, hasiraa wanaletaa kwangu, mie ndo nawatumaga?

Wanitueeee kabisaaa, ndo nasubiriiii hapaaa wakujeeeeeee. Km wao ni makahabaa wazoefu, mie ni malayaa niliye kubuhuuuu. Na ntawajuza km kachumbali ni mbogaa au kiungo cha wali, na watafahamu km penalty ni mpira wa adhabu au dharuraaa, mxxxxieeeeeeeeew

Wanipumzisheeee kwan khaaaaaah,

Sent using Jamii Forums mobile app
duh kuna mambo humu
 
Back
Top Bottom