Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Tumebaki na Messi tu😊
Tumebaki na Messi tu😊
🤣🤣🤣🤣Natolea wapi Dada ako...Nani asiyetaka kajala 1&2 na mipesa kedee mjini hapa!!embu fanya 23 niianze vyema mie😂😂dada usinambie hunaaa?? Em ukujee nikupeee bhanaaaa, wee hutakii kuhongwaa pesa ndefuu eti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzio nimevurugwaaa na kingereza chenyewee cha mkopooo bas tafrani tupuuu.Is
Not
Was
![]()






Kweli kabisa, 82yrs si mchezo!In his early 80’s ni parefu sana. Apate pumziko la milele.
Endelea kuwapuuza kipenzi..kukaa kimya nalo jibu..usiwape Kiki manina hao
Natolea wapi Dada ako...Nani asiyetaka kajala 1&2 na mipesa kedee mjini hapa!!embu fanya 23 niianze vyema mie
![]()






ktk watu wanajua mambwata Kajalaa nimemnyooshea mikono, tatizo halijielewi lile, lingekua mbali maskinuii. Sahiv natuliaaaa kmyaaaa,Endelea kuwapuuza kipenzi..kukaa kimya nalo jibu..usiwape Kiki manina hao






Weeeee..niambie komaaaktk watu wanajua mambwata Kajalaa nimemnyooshea mikono, tatizo halijielewi lile, lingekua mbali maskinuii.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakina naona furaha yakupendwa na Bwana ERoni mwaka wako shangazi😂😂
Waoo asante shem toka nizaliwe leo ndyo nimepewa kiss na mzungu [mention]cocastic [/mention]
Usiku mwema [mention]cocastic [/mention] ulale vizur ukiamka upate mimba ya [mention]Ntiluseswa [/mention] nyie wengine mtajua wenyewe kwanza muachike tu








wee shem em ulale sasa. Zimefika 😊
WachaaNkamu mimi sihusiki kabisa hapa
Nadhani litakua lisukuma limoja linaitwa Wigelekelo ndo linalogombaniwa hapa![]()
Wewe mambo mengi sana!
Mzee wa mchongo kivurugeNdiyo maana huwa namwambia Bibi yenu awe anawaita hata Wakati wa Palizi tu, mnaishi Mjini hadi mnasahau Jembe
Usijali nitakuelekeza kulima, Palizi pamoja na Kuvuna![]()