ni mashoto mmoja mmbaya sana ktk shabahaUnaanzaje kuvaa miwani?
Unakwama wapi
Sasa trigger utaiona kweli
Ukishapata target?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Atapewa mshindi wa pili (aliye hai). We piga kampeni tu uteleze na bundle la bure kwa mwaka mzima





nilivo na nuksi na gundu, hata walaaaa aseeeh. Sijisumbui. Ndiwoooooooooh mambo yangu na shemelaaa ako hayaa..Baadhi ya vipande vya hii movie vimenikumbusha kitambo kidogo
Mnaanza maandalizi ya kupika mkiwa pamojamara hujamaliza kukata vitunguu ushalambwa shingoni muda mrefu kishenziView attachment 2455825.
hujakaa sawa unaachana na vitunguu unapiga game kwanza
ila nyie mapenzi ni matamu sana kukiwa na urafiki na usela ndani yake
![]()





full ku enjoy. Na isitoshe alifariki August mwaka jana, sio mwaka huu.Nimeshangaa eti wamemuweka na marehemu jamani.
Tunatambua mchango wake lakini hayupo duniani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kabisa hamna lishindwalo chini ya juaTupambane tu mwanawane
Lakini tusiache kula kwa macho
Ipo siku tutabarikiwa
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mieee nipooooo Dr.Nzuriiiiii kumbe upooo!!!
Nitakutafuta.
Safe journey brohhhzzz!!!Iringa , Arusha ,dsm View attachment 2456464
Kuna siku nimeenda sokoni nikawaona nikawa namuuliza mwenyeji wangu kuhusu hao wadudu kwamba huku mnakula dah muuzaji palepale akachua mmoja akatupia mdomoniHiki ni chakula maarufu sana pande za Zambia. Hawa jamaa wanapatikana sokoni sawa na dagaa wa kawaida.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Unapiga bullni mashoto mmoja mmbaya sana ktk shabaha
