Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona kama moyo unashindia kule ulikonambia nisiende 😄😄
Lenie
D5F549EE-E7D6-4B66-AA74-E64423EA4D0D.jpeg
 
Take it easy mjukuu...mambo hayako complicated kihivyo. Kwa sisi wazee tumeona mengi sana na hakuna cha kutubabaisha tena. Hata leo hii nikienda hospitali nikaambiwe nina terminal disease au sijui Mama E kaamua kunipiga chini ni poa tu yaani...

Usijipe shobo kwenye maisha ya watu. Jua nafasi yako kwao na chukua tahadhari...yaani linda moyo wako!

Cheza kwa kufuatisha mdundo wa ngoma ya maisha yako na yao...

Wakionyesha dalili za kutojali wewe weka skweadi kabisa ili muende sawa!

Maisha yako ni yako na uko responsible kwa asilimia 100%. Usilaumu mtu!

Hakuna mtu mwingine aliyezaliwa hapa duniani ili aje kukupa furaha, kukusaidia na kukupa mafanikio. Huo ni wajibu wako 100%

Usitegemee cho chote kutoka kwa mtu ye yote na always tambua kwamba binadamu ye yote yuko capable kufanya cho chote kwa wakati wo wote bila kujali kama ni mzazi, ndugu, mwenza......

Homo Sapiens...kiumbe mtata huyu asiyeeleweka...leo anakujali na kukuthamini sana na kesho ushageuka adui.

Maisha - safari ya mzunguko wa mumo kwa mumo iliyojaa mapambano ya bandia yenye hatihati na unafiki mwingi....

Take it easy...

Zingatia!
Sauti hekima.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom