Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weuweh kumbe genius yupo vizuri hivyo ... Bila shaka na wewe soon utakuwa unatema ngeli .

Sijui sana ngeli .. Maaana napenda kuongea zaidi ya kuandika ...

Nimekuwa kma wattoto wa St.Marys tulikuwa tunawasema wanajua ngeli lakini kuandika hawawezi .
mmejaliwaaa aseeeeh, mie ung'eng'e ni kwenye pepa, assignment, quiz, presentation etc, sio kuongea holelaaaa

ntaumbukaaaaaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom